• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Halmashauri zapongezwa kwa kupata hati safi

Posted on: March 30th, 2023

Halmashauri za Mkoa wa Singida zimepongezwa kwa kupata hati safi katika mwaka wa fedha unaoishia Julay 2022 baada ya ukaguzi uliofanywa mwaka 2022/23 na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).

Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba akiwa katika kikao kazi kilicho wahusisha wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa Tarafa pamoja na Maafisa elimu.

Wakiwa katika kikao hicho RC Serukamba amewaeleza Wakurugenzi kwamba wahakikishe hakuna fedha mbichi inayotumika kabla ya kuingizwa benki ikiwa ni maagizo yaliyotolewa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan huku RC Serukamba akikemea tabia ya wakusanya mapato kukaa na fedha za Serikali zaidi ya siku mbili pasipo kuipeleka benki.

Aidha amewaagiza Wakurugenzi hao kuhakikisha wanafuata sheria katika kutenga na kutumia fedha za mapato ya ndani ikiwa ni  pamoja na kutenga fedha kwa ajili ya mikopo ya wanawake vijana na walemavu na kuzisimamia mikopo hiyo ili iweze kurejeshwa kwa wakati.

Hata hivyo amewakumbusha Wakuu wa Wilaya kwenda vijijini na kukutana na wazazi lengo likiwa ni kuwahamasisha kujitolea katika ujenzi wa shule katika maeneo ambayo madarasa hayapo ya kutosha kama sehemu ya kuanzisha miradi mipya ya Halmashauri.

Amesema anataka zoezi la usajili wa wanafunzi lifikie asilimia zaidi ya 90, kwenye programu za Lishe Wakurugenzi wahakikishe kwenye kadi alama hakuna rangi ya njano wala nyekundu na kwenye ufaulu anataka ifikie asilimia zaidi ya 90.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga amewataka Wakurugenzi na Maafisa Elimu kuhakikisha ufaulu unaongezeka mpaka kufikia asilimia 90 huku akibainisha kwamba hatapenda kuona daraja sifuri na ikiwezeka ufaulu uishie daraja la tatu.

Hata hivyo amesisitiza viongozi hao kujipanga kuondoa utoro kwa wanafunzi kwa sababu ndio unasabibisha ufaulu mdogo au kufeli kwa wanafunzi huku akisistiza kuimarishwa programu ya chakula mashuleni.

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • "WAHITIMU MSIBWETEKE,JIENDELEZENI KATIKA FANI ILI MJIAJIRI"-DKT.MGANGA

    May 30, 2025
  • DKT.MGANGA:"WATUMISHI MSIKUBALI KUTUMIKA VIBAYA,KUWENI NA UTAMBULISHO MZURI"

    May 27, 2025
  • ANUANI ZA MAKAZI KUJA NA FURSA LUKUKI ZA MAENDELEO KWA WANANCHI

    May 26, 2025
  • WANAFUNZI NI SALAMA CHINI YA MRADI WA SHULE BORA .

    May 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.