• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

HATI ZA KIMILA ZAIDI YA 700 ZATOLEWA IKUNGI,WAZIRI NDEJEMBI AKABIDHI.

Posted on: January 10th, 2025

Zaidi ya Hati 700 zimetolewa katika hafla ya ugawaji wa Hatimiliki za kimila kwa wananchi wa Ikungi mkoani Singida kupitia mradi wa pamoja wa Kuongeza kasi ya uwezeshaji wanawake kiuchumi JP-RWEE huku asilimia 40 za hati hizo ni hati za wanawake na wasichana.

Hayo yamefanyika hii leo tarehe 10 Januari, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi ambapo Waziri wa Ardhi, Nyuumba na Maendeleo ya makazi Mhe. Deogratius Ndejembi ameshiriki katika tukio hilo.

Akizungumzia mradi huo amesema kuwa ni matokeo ya mradi wa awali ambapo utekelezaji wake unafanyika tangu mwaka 2023 hadi ifikapo mwaka 2027 ukitekelezwa na Halmashauri ya wilaya ya Ikungi na wadau kama vile FAO, WFP, UN WOMEN, IFALD chini ya ufadhili wa Sweden na Norway. 

Akizungumzia suala la migogoro ya ardhi,Mkuu wa Wilaya ya Ikungi,Mhe. Thomas Apson  amesema kuwa sababu  kubwa inayowakabili wananchi wa Wilaya ya Ikungi ni uelewa mdogo wa sheria ya ardhi hivyo kupelekea ongezeko la migogoro ya ardhi wilayani hapo.

“Ugawaji wa hati miliki za kimila unaofanyika hii leo ni suluhisho la migogoro hio .Tunaishukuru sana Wizara kwa kuweka miundombinu rafiki kutokana na mipango ya ardhi” amesema Mhe.Apson.

Akisoma taarifa katika gafla hiyo,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi ameainisha baadhi ya vijiji 12 vinavyonufaika na mradi huo ikiwa ni pamoja na Kipumbwiko, Wibia, Puma, Samaka, Matongo na vinginevyo.

Baadhi ya wananchi wanaonufaika na tukio hilo, wameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jamboi hilo ambao ni mkombozi kwa na litasaidia kuepusha migogoro mbali mbali na kuwawezesha kufanya shughuli za uzalishaji kwa amani.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.