• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

IKUNGI WASISITIZA MATUMIZI YA MFUMO WA NeST KATIKA MANUNUZI

Posted on: January 13th, 2025

Maafisa masuuli katika Wilaya ya Ikungi wameelekezwa kuanza kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa ununuzi wa umma NeST katika michakato yote ya ununuzi wa umma.

Hayo yamesemwa leo (Januari 13, 2025 )na Mkurugenzi Mtendaji wa  Halmshauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg. Justice Kijazi alipozungumza katika mafunzo hayo ya siku mbili  yanayofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Ikungi.

Mkurugenzi ameongeza na kusema kuwa watumishi wote wanaohusika na mchakato wa ununuzi ndani ya Taasisi wanapaswa kupata mafunzo yatakayowawezesha kutumia mfumo huo wa manunuzi kwa ufasaha ili kuepusha ubadhilifu wa fedha za Serikali.

"Wanaopaswa kushiriki mafunzo hayo ni pamoja na maafisa masuuli, Wakuu wa Idara na Vitengo, Maafisa wawili kwa kila idara au kitengo wanaohusika na manunuzi, Mkaguzi wa ndani, Maafisa Tehama na Mwanasheria wa taasisi." amezungumza Kijazi.

Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya manunuzi Wilaya ya Ikungi Bi Mariam A. Haroun amesema kwa mujibu wa kifungu Cha 9 (1)(k) cha sheria ya ununuzi wa umma, sura ya 410, mamlaka ya kudhibiti wa ununuzi wa umma( PPRA )imekasimiwa jukumu la kusanifu, kuanzisha na kuhuisha mifumo mbalimbali ya kielektroniki kwa ajili ya uwazi na kuleta tija kwenye ununuzi wa umma.

"Ni wajibu wa kila mmoja wetu kujifunza mfumo wa NeST na kujisajili ili kurahisisha huduma za manunuzi kwa njia ya mtandao" amesema Bi.Mariam 

Hata hivyo kwa upande wao baadhi ya watumishi waliopata mafunzo hayo wamesema kuwa mafunzo hayo yanaenda kuwa suluhu dhidi ya upotevu wa fedha za Serikali kwani manunuzi yote yanaenda kufanyika kwa njia ya mtandao( NeST )na wapo tayari kujisajili na kuanza kutumia mfumo huu rasmi.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.