• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Iramba kutunga Sheria ndogo za kuzuia mbuzi wanaozurura.

Posted on: January 17th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kutunga Sheria ndogo itakayotumika kuzuia mifugo wanao randaranda mitaani na kufanya uharibifu wa miti iliyopandwa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo.

Maelezo hayo ameyatoa leo katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo alipokuwa akitatua kero za Wananchi waliokuwa wakilalamikia uwepo wa mbuzi wanaozurura mitaani na kuharibu miti na mazao mengine yaliyopandwa.

Akitolea ufafanuzi swala hilo Mkuu wa Mkoa huyo amemuagiza aliyekuwa akikaimu nafafasi ya Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Huseni Sepoko kuhakikisha kwamba katika kipindi kifupi wawe wametunga Sheria ndogo ambazo zitawasaidia kuzuia wanyama wanaorandaranda ambayo itaruhusu kuwakamata mifugo hiyo na kuwapiga faini.

"Nakuagiza Mkurugenzi katika kipindi kifupi kijacho mtunge Sheria ndogo ambazo zitazuia mifugo kuzurura mitaani, na mhakikishe Sheria hiyo inaweza kutoa adhabu kali kwa watakao kiuka utaratibu". RC Serukamba

Amesema kwa sasa ni mpango wa Mkoa kuhakikisha kwamba kunapandwa miti zaidi ya Milioni tatu na kuifanya Singida kuwa mji wa kijani jambo ambalo haliwezi kufanikiwa endapo miti hiyo itaendelea kuharibiwa na mbuzi wazururao.

"Mkoa tumepanga kupanda miti zaidi ya Milioni tatu, tutashirikiana na wanafunzi, Makanisa na Misikiti kuhakikisha kila kaya inakuwa na miti isiyopungua minne, hatutavumilia jitihada hizo zikwamishwe kwa uzembe" Serukamba.

Aidha amewataka viongozi wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanawafuata wananchi walipo na kutatua kero zao badala ya kukaa ofsini kusubiri viongozi wa ngazi ya juu wanapotoka na kila mtumishi ahakikishe anakamilisha majukumu yake kwa wakati.

Akiwa katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa ameweza kusikiliza jumla ya kero 32 zikiwemo za ardhi, maji na madeni na usafi wa Mazingira.

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.