• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

KATIBU MKUU WA CCM BALOZI DKT. NCHIMBI AWAPA TANO VIONGOZI WA MKOA WA SINGIDA KWA UTEKELEZAJI BORA YA MIRADI YA MAENDELEO.

Posted on: May 29th, 2024

Serikali ya mkoa wa Singida imepongezwa kwa kusimamia na kutekeleza kikamilifu Ilani ya Chama ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ya wananchi kwa kiwango cha juu ikiwemo miradi ya maji, afya, elimu na miundombinu mkoani humo.

Pongezi hiyo zimetolewa na Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi katika ziara yake ya kikazi ya Siku Mbili mkoani Singida wakati anazungumza na wananchi kwenye mikutano ya hadhara katika Wilaya ya Manyoni na Ikungi pamoja na kusikiliza na kutatua papo hapo kero ambazo zilitolewa na wananchi.

Balozi Nchimbi amesema ushirikiano imara kati ya Viongozi wa Serikali na wa CCM mkoani Singida umepelekea miradi mingi ya maendeleo kutekelezwa kwa wakati na kwa kiwango cha juu.

Amesema taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM aliyopatiwa na Mkuu wa mkoa wa Singida Mheshimiwa Halima Dendego, imeonyesha wazi kasi kubwa ya Maendeleo ambayo imepigwa mkoani Singida kwa kuboresha na kuimarisha huduma mbalimbali za Kijamii ikiwemo huduma za maji, afya, elimu,  miundombinu, umeme, pamoja na sekta kilimo kwa usalama wa chakula.

Naye, Mkuu wa mkoa wa Singida Mheshimiwa Halima Dendego, akitoa taarifa ya mkoa wa Singida kuhusu utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi amemhakikishia Katibu Mkuu huyo wa CCM wataendelea kusimamia kikamilifu fedha ambazo wanapatiwa na Serikali ya awamu ya Sita katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ili wananchi waweze kupata huduma bora na za uhakika za maendeleo karibu na maeneo yao.

Halima Dendego amesema mpaka sasa mkoa wa Singida tayari umepokea zaidi ya shilingi Trilioni Moja kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo hali ambayo imeufanya mkoa wa Singida kung’aa kimaendeleo katika sekta mbalimbali.

Mkuu huyo wa mkoa wa Singida amemwomba Katibu Mkuu huyo wa CCM kumfikishia Salamu za pongezi na shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendeleo kuupatia mkoa wa Singida fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya wananchi.

Amesema mkoa wa Singida kwa sasa unaendelea na mipango na mikakati ya kuwavutia wawekezaji katika sekta mbalimbali wa ndani na nje ya nje kuja kuwekeza mkoani humo ikiwa ni sehemu ya kuongeza pato la mkoa na la taifa kwa ujumla kupitia vivutio vya uwekezaji kwenye masuala mbalimbali ikiwemo kilimo na utalii.

MWISHO

====================

 

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.