• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Kilimo cha Umwagiliaji Mkoani Singida kuwatoa vijana Kimasomaso.

Posted on: June 20th, 2023

Halmashauri za Wilaya Mkoani Singida zimetakiwa kutafuta maeneo yenye ukubwa wa ekari zisizopungua 500 ambazo zitajengewa miundombinu ya umwagiliaji na kugawiwa kwa vijana wa kiume na wakike wapatao 100.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa huo Peter Serukamba,  alipotembelea Halmashauri ya Singida na Ikungi ameeleza nia yake ya kuwasaidia vijana wa Mkoa huo kwa kuanzisha mashamba ambayo yatawasaidia kuongeza vipato kwao na Halmashauri.

Amesema kwamba mashamba hayo yatakuwa ni kwa ajili ya Kilimo cha mahindi na vitunguu ambapo Halmashauri zitawalimia na kuwapatia mikopo huku Wizara ya Kilimo ikiwa imeahidi kwamba watachimba visima vya umwagiliaji ambavyo vitatumia mabomba.

Hata hivyo amebainisha kwamba mikopo hiyo itakayotolewa na Halmashauri kwa vijana watarejesha baada ya miaka mitatu ikiwa ni mbegu, huduma ya kusafisha mashamba na uwekaji wa miundombinu.

Kwa upande wake DC wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili amempongeza RC kwa kuja na wazo hilo kwakuwa kwanza utaongeza vipato kwa vijana hasa kipindi hiki ambacho kilimo ndicho kinacho ongoza kwa kuleta mapato kwa Serikali.

Amesema  kwa sasa wanachangamoto ya wataalamu wa upimaji wa ardhi ambao watasaidia kupima maeneo yanayomilikiwa na Halmashauri hiyo ikiwemo shule vituo vya Afya na maeneo mengine.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Elia Digha, amesema wamejipanga kuongeza mapato kwa kuongeza vyanzo vipya vikiwemo kuboresha na kukodisha majengo yao na uuzaji wa viwanja.

Aidha Digha amemuomba Mkuu wa Mkoa kusaidia upatikanaji wa miradi katika Wilaya hiyo ili kuepuka kutegemea kilimo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ally Mwanga akizungumza na Madiwani wa halmashauri hiyo wakati akifungua kikao hicho.

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Thomas Apson, akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Wilayani Ikungi Juni 20, 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba, akisisitiza jambo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani Wilayani Ikungi.


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.