• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AMEWATAKA WANANCHI KUTOCHAGUA WAGOMBEA WANAOTOA RUSHWA.

Posted on: July 8th, 2024


Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Godfrey Mnzava amewataka wananchi kote nchini waasithubutu kuchagua wagombea watakaotoa rushwa katika uchaguzi wa Serikali za mitaa kwani kufanya hivyo watachagua viongozi wabovu ambao hawataharakisha maendeleo kwenye maeneo yao.

Kiongozi huyo wa mbio za Mwenge ametoa kauli hiyo kwenye viwanja vya bombadia mjini Singida wakati anazungumza mara mamia ya wananchi waliojitokeza baada ya risala ya Utii kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mnzava amewasisitiza wananchi kuchagua Viongozi wenye sera na mipango madhubuti ya kuwaletea maendeleo na sio viongozi wanatoa rushwa kwa sababu wakichaguliwa wataangalia maslahi yao binafsi kuliko maendeleo ya wananchi.

"Msiwachague Viongozi wanaotoa rushwa watawarudisha nyumba kwa sababu hatawaletea maendeleo bali watajijali wao tu," Ameeeleza Mnzava.

Akizungumza na Vijana zaidi ya 1000 kwenye Kongamano la Vijana mjini Singida, Kiongozi huyo wa mbio za mwenge Uhuru Godfrey Mnzava amewahimiza Vijana kuwa wazalendo katika Taifa lao na wadumishe amani na utulivu katika nchi yao.

Amewaomba vijana wenye sifa na uwezo kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa sababu anaamini kuwa wanauwezo wa kufanya vizuri pindi watakapochaguliwa.

Baadhi ya Vijana walioshiriki kwenye Kongamano hilo wameiomba Serikali kuitisha mikutano na makongamano kama hayo kwa sababu yatawasaidia kufahamu fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo nchini pamoja kuwaimarisha kimaadili na kiuzalendo.


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.