• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Ma-DC mjenge utaratibu wa kutatua kero za wananchi - RC Serukamba

Posted on: February 21st, 2023

WAKUU wa Wilaya mkoani Singida wametakiwa kujenga utaratibu wa kutatua migogoro mbalimbali katika jamii ili wananchi waendelee kuwa na amani na imani na Serikali yao.

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba, ametoa rai hiyo jana Februari 20, 2023 katika mkutano wa kupokea kero za wananchi uliofanyika katika shule ya Sekondari Ilongero, iliyoko mkoani hapa.

“Nawaomba Ma-DC mjenge utaratibu wa kutatua kero za wananchi, wana vijiji hawa ni watu wetu, hawa ndiyo wamekichagua Chama chetu (CCM), tukitatua changamoto za wana vijiji wetu watakipenda chama chetu, watampenda Rais wetu (Mama Samia Suluhu Hassan), watampenda Mbunge, DC na viongozi wetu wote,” alisema.

Katika hatua nyingine Serukamba amempa wiki moja kuanzia Mkuu wa Wilaya Singida, Mhandisi Paskasi Muragili, kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu katika shule ya Sekondari Ilongero.

Wakati wa kikao hicho wananchi walimwambia Serukamba kwamba mtu mmoja analima na kupanda mazao katika eneo la eka nne la shule hiyo akidai kuwa ni lake licha ya kuwa alikuwa ni mmoja wa waliohamishwa kupisha ujenzi wa shule hiyo tangu miaka 1980.

Serukamba ameagiza kuwa mvamizi huyo aachwe avune mazao yake na hatimaye aliache eneo hilo na kwamba DC Muragili pamoja na ofisa ardhi mkoa wahakikishe katika kipindi hicho wanapima eneo hilo kumaliza mgogoro huo.

Pia ametoa wito kwa makatibu Tarafa kuwasimamia viongozi wa Serikali za vijiji ili wasiwe sababu ya migogoro ya ardhi badala yake wawe watatuzi.

Awali akizungumzia mgogoro wa shule hiyo, Diwani wa Kata ya Ilongero, Issa Juma, alisema upo tangu miaka ya 1990 na kwamba mtuhumiwa huyo amekuwa akilima eneo hilo licha ya kuaswa na viongozi kwa nyakati tofauti kuwa aliache.

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutano huo wa kusikiliza na kutatua kero.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.