• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Maadhimisho Ya Miaka 60 Ya Uhuru Singida Yaendelea Kwa Kutembelea Maeneo ya Ki Historia.

Posted on: December 5th, 2021

Wakazi wa Mkoa wa Singida wametakiwa kujenga tabia ya kuyatembelea maeneo ya historia na kijifunza histrioa ya mkoa wao na nchi yao kwa ujumla ili waweze kutambua walivyokuwa wakiishi watu wa maeneo hayo kabala na baada ya uhuru.

Imebainika kwamba ili kujua hatua ambazo nchi imeweza kupiga na kuleta maendeleo ya uchumi, siasa na utamaduni ni lazima kuijua historia ya zamani ikilinganishwa na hali ilivyo kwa sasa.

Hayo yamesemwa leo Desemba 5, 2021 na Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dorothy Mwaluko wakati wa ziara ya kutembelea maeneo ya kihistoria yakiwemo Ofisi ya DC wa kwanza Muafrika iliyopo Manyoni Mkoani Singida, Nyumba aliyolala Mwalimu Nyerere iliyopo eneo la Mjini Kati Manyoni, vituo mbalimbli vya kihistoria eneo la Kilimatinde na reli ya mwendo kasi iliyopo Makutopora ambapo alibanisha umuhimu wa kujifunza historia ya maeneo hayo.

Ziara hiyo ilikuwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru ambayo Mkoa wa Singida unaendelea kuadhimisha kwa namna tofauti mpaka itakapofika Desemba 8 mwaka huu kabla ya kuungana na maadhimisho ya ki taifa yatakayofanyika tarehe 9 katika uwanja wa uhuru mkoani Dar es salaam.

Mwaluko akafafanua kwamba pamoja na historia lakini wananchi wa Mkoa wa Singida wanapashwa kufahamu jitihada za Serikali katika kuliletea taifa maendeleo kwa kuanzisha reli ya mwendo kasi ambayo imesemekana itarahisisha usafiri na kuongeza biashara maeneo mbalimbali.

Ziara hiyo ilihusisha wakurungezi wa Halmashauri saba za Mkoa wa Singida, Wakuu wa Wilaya ya Singida Mjini na Iramba pamoja na wabunge mbalimbali lengo likiwa ni kuwaonesha wananchi fursa nyingine za ki utalii ambazo huweza kulisaidia taifa kupata mapato kupitia vitu vya kihistoria.

Naye DC wa Singida Mjini Mhandisi Pasikas Muragili akimwakilisha DC wa Manyoni akatumia muda huo kuwataka Vijana kushiriki kikamilifu katika maadhimisho hayo kwa kuwa yana mafunzo ndani yake.

DC Muragili akawataka pia vijina kujitokeza siku ya tarehe sita katika ukumbi wa mikutano wa Halamashauri ya wialaya ya Manyoni kushiriki kongamano juu ya hatua mbalimbali zilizofikiwa na Serikali kabala na baadaye.


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.