• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MAONESHO YA KIMATAIFA YA NANE NANE YAPEWA HEKO NA NAIBU WAZIRI WA TAMISEMI.

Posted on: August 4th, 2024

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Festo Dugange, amesema  ameridhishwa na ubunifu na maendeleo yaliyofikiwa katika Sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi katika kuwakwamua wananchi kiuchumi.

Naibu Waziri Dugange, ametoa kauli hiyo mara baada ya kumaliza ziara ya kutembelea mabanda mbalimbali ya maonesho ya Kimataifa yanayofanyika kwenye Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma.

Amesisitiza matumizi ya mashine na teknolojia za kisasa katika sekta hizo ikiwemo ya kilimo kama hatua ya kusaidia wakulima kuongeza maradufu uzalishaji na kupunguza gharama za uzalishaji na kuboresha kipato chao na cha Taifa kwa ujumla.

“Ukimwezesha Mkulima katika kilimo chenye tija unamwezesha kukua kiuchumi hivyo atapata mapato makubwa ambayo yatamsaidia kukuza uchumi wake na wa Taifa.” Amesisitiza Dkt Dugange.

Amesema maboresha katika sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi yatasaidia kwa kiasi kikubwa Halmashauri nchini kuongeza mapato yao kupitia sekta hizo iwapo tu maboresho yatafanyika kwa kiwango kinachotakiwa.

Naibu Waziri huyo amesisitiza Wadau mbalimbali walioshiriki kikamilifu hasa za zana za kilimo wahakikishe pamoja na kuuza zana zao wanakuwa na vipuli ili wananchi wasipate taabu ya vyombo vyao kusimama kufanya kazi kwa sababu ya kukosekana kwa vipuli hivyo.

Maonesho ya Nane Nane Kimataifa hukutanisha kwa pamoja Wakulima, Wafugaji, Wavuvi, Watafiti na watoa huduma mbalimbali ili kubadilishana maarifa na teknolojia mpya zinazolenga kuboresha sekta ya kilimo.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mheshimiwa Halima Dendego, (mwenye kiremba) akimuongoza Mheshimiwa Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Festo Dugange, kwenye maeneo ya maonesho ya Mifugo yaliyopo kwenye maonesho ya Nanenane jijini Dodoma.

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatuma Mganga, akimuelezea jambo Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Festo Dugange kuhusu kilimo cha Alizeti chenye tija zao linalolimwa kwa wingi mkoani Singida wakati Naibu waziri huyo alipotembelea sehemu ya Vipando vya Halmashauri ya Wilaya ya Singida leo (4 Agosti, 2024).

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.