• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Mashamba ya Shule kutumika kuzalisha chakula cha wanafunzi - Dr. Mganga.

Posted on: April 14th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga ameagiza  mashamba yote ya shule katika msimu ujao wa kilimo yatumike kuzalisha mazao ya Kilimo na biashara kwa kiasi kikubwa ili wanafunzi  wapate chakula cha kutosha ambapo amesema itasaidia kuongeza ufaulu.

Kauli hiyo ameitoa leo tarehe 14.04.2023 katika Mkutano wa ALAT unaoendelea kwa siku ya pili katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi ambapo RAS huyo ameeleza nia yake ya kuondoa utoro kwa wanafunzi na kuongeza ufaulu huku akieleza kwamba kilimo kwa wanafunzi kitaongeza upatikanaji wa chakula shuleni.

Aidha RAS Fatma ameendelea kueleza kwamba shule nyingi za Mkoa wa Singida zina maeneo makubwa yanayofaa kilimo lakini yanatumika kuzalisha kiasi kidogo sana jambo ambalo linaongeza mzigo mkubwa kwa wazazi katika zoezi la kuchangia chakula shuleni.

"Serikali imeleta madarasa iliyobaki ni sisi viongozi kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria darasani, wazazi kuhakikisha wanawalisha wanafunzi, lakini litakuwa jambo jema watoto wetu wakaanza kuyatumia mashamba ya shule kuzalisha chakula chao wenyewe" Dkt. Fatma Mganga.

Aidha, RAS amewaagiza Maafisa elimu wote mkoania hapo kuhakikisha wanatumia mbinu mbalimbali za kufundishia zikiwemo matumizi ya vijiti vya kuhesabia ili kuondoa tatizo la baadhi ya wanafunzi kushindwa kusoma, kuandika na kuhesabu huku akiitaja shule ya msingi Kisasida iliyopo Manispaa ya Singida yenye wanafunzi zaidi ya 1000 kati ya hawo 139 hawajui kusoma na kuandika.

Hata hivyo amewataka walimu kuwa na nia ya dhati katika kuondoa tatizo la KKK shuleni kwani wazazi wanawategemea katika mabadiliko ya watowa wao.

RAS ameeleza amewasihi Wakurugenzi na wenyeviti wa Halmashauri kuhakikisha wanatumia sheria ndogo kuondoa tatizo la utoro shuleni ili kuinua viwango vya elimu.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.