• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MASHINDANO YA MICHEZO MEIMOSI SINGIDA YAZINDULIWA

Posted on: April 22nd, 2025

"Michezo ni Afya"

Haya yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi wakati akizindua Mashindano ya Michezo mbalimbali kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Meimosi Kitaifa Leo tarehe 22 Aprili 2025 katika viwanja vya CCM Liti Mkoani Singida, Mashindano haya yalianza tarehe 16 Aprili na yatahitimishwa tarehe 30 Aprili.

" Michezo ni muhimu sana katika maisha yetu ili kujenga afya zetu lakini pia michezo inatufanya tuchangamke katika kufanya maamuzi na ni sehemu nzuri yetu wafanyakazi kujenga urafiki na kufahamiana"

Aidha, Katambi amesema serikali imetoa Fedha nyingi kuwekeza kwenye michezo kwasababu inaelewa na kutambua umuhimu wa michezo katika maisha yetu.

"Mhe. Rais ametoa Fedha nyingi kujenga viwanja kwenye mikoa mbalimbali ndani ya nchi yetu ikiwemo Arusha lakini pia uwanja wetu wa Mkapa umekarabatiwa vizuri kwasasa hiyo yote ni kuonesha umuhimu wa michezo hivyo tumuunge mkono Mama yetu ili tufike mbali"

Akizungumzia suala la Ushiriki wa Taasisi katika Mashindano haya kuelekea Maadhimisho ya Meimosi Naibu Waziri Katambi amefafanua kuwa Taasisi 44 zimeleta washiriki lakini zingine hazijaleta washiriki hii ni wazi kuwa hawaungi mkono juhudi za Mhe. Rais kwenye suala la Michezo na ikumbukwe kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ndio Muajiri namba Moja hivyo Wakuu wa Taasisi tujitahidi kuhakikisha tunaleta watumishi kushiriki Michezo hii"

     Amebainisha kuwa Siku ya wafanyakazi Kitaifa ambayo itafanyika tarehe 01 Mei katika Mkoa wa Singida Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni Rasmi.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI NA KLINIKI YA SHERIA YAZINDULIWA SINGIDA

    May 19, 2025
  • MAGARI MAPYA WILAYANI,UTENDAJI KUIMARIKA!

    May 19, 2025
  • SERIKALI KUU YAMWAGA FEDHA ZA MIRADI MANISPAA YA SINGIDA

    May 16, 2025
  • KLINIKI YA SHERIA KUKATA KIU YA MASHAURI YA WANANCHI MKOANI SINGIDA.

    May 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.