• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Mfumo wa M-Mkulima kuwanufaisha wakulima wa alizeti Mkoani Singida.

Posted on: May 20th, 2022

Wakulima wa alizeti Mkoani Singida wapo mbioni kunufaika na mfumo wa M-Mkulima  ambao umelenga  kutoa taarifa sahihi zinazohusiana na kilimo ikiwemo hali ya hewa Bima ya mazao mikopo na ushauri.

Akiongea wakati wa Mafunzo kwa Maafisa ugani wa Wilaya ya Ikungi  yaliyofanyika leo katika ukumbi wa mkuu wa Mkoa, Meneja wa mifumo ya kidijitali na Intanent ya vitu kutoka Kampuni yaVodacom  Mike Kasungu amesema mfumo huo utasaidia upatikanaji wa taarifa ambazo zitasaidia wakulima kukopesheka benki na kuongeza tija ya Kilimo chao.

Wakulima wengi walikuwa hawakopesheki kwa sababu mabenki walikuwa hawana taarifa sahihi za mkulima lakini kupitia mfumo wa M-Mkulima  utakuwa na taarifa za mkulima kuhusu aina ya mazao anayolima, ukubwa wa shamba na masoko yaliopo. Alisema Mike Kasungu.

Make amesema mfumo ulianzia Kanda ya ziwa kwa wakulima wa pamba ambapo mafanikio yalikuwa makubwa na bado wakulima wengi wamekuwa wakijiunga kupitia Maafisa ugani wao.

Amesema kwa sasa Kampuni ya Vodacom kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo wanatoa elimu kwa Maafisa ugani katika Kanda ya Kati hasa Mkoa wa Singida kuhusiana na namna ya kuwasajili wakulima wa alizeti katika mfumo Mkoani hapo ili  waweze kupata taarifa kuhusu mbinu Bora za kilimo, Bima za mazao, masoko na mikopo kwa ajili ya shughuli zao za kilimo.

Hivi karibuni Waziri wa kilimo Husein Bashe akiwa Bungeni alibainisha kwamba Serikali imedhamiria kubadilisha kilimo kuwa cha ki biashara ili kiweze kuwa na tija kwa wakulima.

Bashe alieleza kwamba moja ya changamoto ya wakulima ni kukosa taarifa muhimu za kilimo kama hali ya hewa upatikanaji wa pembejeo za kilimo na taarifa za soko jambo ambalo Wizara hiyo inalishughulikia kupitia njia mbalimbali za Kiserikali kwa kushirikiana na Sekta binafsi.

Alisema kwamba mikakati mbalimbali inafanyika ili mkulima aweze kutambulika na kukopesheka kupitia mabenki jambo ambalo ndilo Kampuni ya Vodacom inalolifanya kupitia mfumo wa M-Mkulima alieleza Waziri wa Kilimo.



MATUKIO KATIKA PICHA

Mafunzo kwa Maafisa Ugani wa Wilaya ya Ikungi yaliyofanyika leo katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa yakiendelea 

Baadhi ya Maafisa Ugani wa Wilaya ya Ikungi wakiwa katika mafunzo hayo


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.