• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MIRADI 47 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 100 KUKAGULIWA NA KUZINDULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI SINGIDA.

Posted on: July 5th, 2024

Mwenge wa Uhuru umeanza mbio zake mkoani Singida ambapo utatembelea, kukagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi ya maendeleo 47 yenye thamani zaidi ya shilingi Bilioni 100.

Kati ya fedha hizo wananchi wamechangia zaidi ya Milioni 287, Wahisani Bilioni Moja na Serikali Kuu imetoa zaidi ya shilingi Bilioni 30.

Makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Chikuyu wilayani Manyoni kati ya Mkuu wa mkoa wa Singida Halima Dendego na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rozimary Senyamule.

Rc Dendego amesema kwa mkoa wa Singida Mwenge wa Uhuru utakimbizwa kilomita 800 kwenye Wilaya Tano na Halmashauri Saba za Mkoa huo

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa wa Singida amewasisitiza wananchi wa mkoa wa Singida kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuushangilia Mwenge wa Uhuru pamoja na kusikiliza ujumbe wa mbio za Mwenge wa Uhuru wa Mwaka huu pindi utakapopita kwenye maeneo yao.

Kwa upande wake, Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa Godfrey Mnzava, amewaagiza Viongozi wa mkoa wa Singida wahakikishe taarifa zote za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kuwepo kwenye maeneo ya miradi yote ili kujua ubora na thamani halisi ya fedha zilizotumika kwenye miradi hiyo ili kujua ubora kuhusu miradi hiyo.

Mnzava pia amesisitiza nyaraka zote zinazohusiana na miradi kuwepo eneo la miradi pamoja na Wataalamu wote waliosimamia utekelezaji wa miradi itakayopitiwa na Mbio hizo za Mwenge wa Uhuru kuwepo kwenye miradi hiyo ili waweze kutoa ufafanuzi kwa maswali watakaoulizwa na wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa lengo likiwa ni kujua kama miradi hiyo imetekelezwa kwa viwango vinavyotakiwa kulingana na thamani ya fedha.

Mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani Manyoni umetembelea, kukagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi ya maendeleo Saba yenye thamani ya Shilingi Bilioni 2.

Hapo kesho, Mwenge wa Uhuru utaendelea na mbio zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani Singida.

Kauli mbinu ya Mwenge wa Uhuru mwaka huu “Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu”.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.