• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MWALUKO AKUTANA NA MUFTI WA TANZANIA

Posted on: September 20th, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko jana amekutana na Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zuberi ofisini kwake alipokuwa akitambulisha shughuli ya uzinduzi wa mfuko wa Maendeleo wa Mufti Tanzania uliozinduliwa kitaifa Mkoani hapo Septemba 19, 2022.

Akieleza umuhimu wa mfuko huo Sheikh Mkuu amesema mfuko huo utawasaidia wanafunzi zaidi ya 4000 nchini ambao wana mazingira magumu ya kupata elimu.

Aidha mfuko huo pia utaisidia jamii kwa kuwa unatumika kujenga mashule na hospitali katika maeneo mbalimbali hapa nchini pamoja na kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa wanawake.

Mufti ameeleza kwamba chanzo cha fedha za mfuko huo ni michango kutoka kwa watu mbalimbali hapa nchini wakiwemo jamii, Waislamu na wasiokuwa Waislaamu lengo likiwa ni kuondoa changamoto na fedheha zinazoikumba jamii ya Watanzania.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa wa Singida Dorothy Mwaluko akipokea ugeni huo amewahakikishia kupata ushirikiano mkubwa kwa Wana Singida wakati wa uzinduzi wa mfuko huo.

Aidha, akipongeza Taaisisi hiyo ya BAKWATA kwa kuanzisha mfuko wa Maendeleo wa Mufti Tanzania unaolenga kuisaidia jamii ya watu mbalimbali Mwl. Mwaluko amechangia kiasi cha Tsh. Laki tatu (300,000) kwa ajili ya kutunisha mfuko huo.

Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zuberi, (kushoto) amshukuru Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko kwa mchango wake kwa ajili ya Mfuko wa Maendeleo wa Mufti Tanzania uliozinduliwa kitaifa Mkoani hapo Septemba 19, 2022.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.