• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

MWENGE WA UHURU WAMURIKA MIRADI YA MAENDELEO SINGIDA DC

Posted on: September 24th, 2023

MWENGE wa Uhuru 2023 umewezesha kuzindua miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida.

Akitoa taarifa ya miradi ambayo imezinduliwa tarehe 24 Septemba, 2023 na Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Singida, Paskas Muragili amesema kuwa hupo mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi ya shule ya Msingi Ikiwi ambapo amesema kuwa mradi huo hupo Tarafa ya Mtinko kata ya Kijota kijiji cha Ikiwi.

Muragili amesema kuwa mradi huo ulianza kutekelezwa tarehe 30 Mei, 2023 na umekamilika 28 Julai, 2023 na kueleza kuwa mradi huo umetumia kiasi cha sh. Milioni 47.

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mosses Machali (kulia) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskas Muragili wakati wa sherehe za mapokezi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2023

Aidha ameutaja mradi mwingine kuwa ni mradi wa kuzalisha maji tiba katika Hospitali ya Wamisionari wa St. Charles Borromeus Triet chini ya udhamini wa shirika la St. Luke Foundation ambao unahusika kuandaa wataalamu, kuwezesha upatikanaji wa malighafi na kufuatilia ubora wa uzalishaji maji tiba.

Ameeleza kuwa gharama za mradi huo ni sh. Milioni 144.4 kwa uhisani wa Masisiter wa Upendo wa St.Charles Borromeus Triet.

Aidha katika Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu imetolewa taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Ukimwi, Muragili amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Singida ina vituo 40 vinavyotoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa virusi vya UKIMWI.

Kwa kipindi cha Julai mwaka 2022 hadi Julai 2023 jumla ya watu waliopimwa VVU walikuwa 40953 kati yao wanaume ni 15,034 sawa na asilimia 37 na wanawake ni 25919 sawa na asilimia 63 waliogundulika na maambukizi ya VVU ni 230 sawa na asilimia 0.6.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2023, Abdalla Shaib Kaim akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kuulaki kuushangilia pamoja na kupata ujumbe wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu. 

Sambamba na hilo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2023, Abdalla Shaib Kaim amewataka Watanzania hususani wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida kuepukana na ngono zembe au kuacha kabisa.

Hata hivyo amewahamasisha kupima afya zao na kujua wanahali gani kiafya na pale wanapogungulika kuwa na VVU waanze kutumia dawa bila kuona aibu au kuwa na woga.

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA WAKATI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2023, Abdalla Shaib Kaim  akigawa vyandarua kwa akina mama wajawazito ili kupambana dhidi ya ugonjwa wa Malaria wakati wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.