• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Mwenge wa Uhuru Wazindua Miradi miwili, miwili yakaguliwa na miwili yatembelewa yenye thamani ya Tsh. Bilioni 1.8 Wilayani Iramba

Posted on: August 10th, 2022

Mwenge wa Uhuru Wilayani Iramba umekamilisha ziara yake kwa kukagua, kuweka jiwe la msingi na kuzindua miradi 6 ikiwa ni pamoja kutembelea vikundi vya wajasiriamali.

Katika taarifa yake Mkuu wa Wilaya hiyo Suleiman Mwenda alisema Mwenge umekimbizwa kwa umbali wa km 127.7 ambapo miradi miwili ilitembelewa, miwili kukaguliwa na miwili kuzinduliwa.

Mwenda amebainisha kwamba miradi hiyo imegharimu kiasi cha Tsh. Bilioni 1.8 ambapo baadhi ya miradi imehusisha michango ya wananchi.

Miradi hiyo ilikuwa Barabara ya Shelui Nkyala yenye urefu wa Km 5, nyumba ya Watumishi wa Kituo cha Afya, Ujenzi wa shule ya Sekondari, jengo la dharura na jengo la wangonjwa mahututi.

Aidha klabu za kupinga matumizi ya madawa ya kulevya, kupinga rushwa na vikundi vya wajasiriamali vilitembelewa.

Kwa upande wake Sahili Nyanzabara Geraruma Kiongozi wa Mbio za Mwenge aliwataka Wahandisi kufanyia kazi changamoto ndogo ndogo zilizojitokeza katika miradi ya Barabara na baadhi katika majengo hayo.

Amewataka wazazi na walimu kushirikiana kuhakikisha kwamba watoto hawashiriki vitendo vya uvunjifu wa amani na kuhakikisha wanakomesha rushwa na matumizi ya madawa ya kulevya.

Hata hivyo Kiongozi huyo akitoa ujumbe wa Sensa ya Watu na Makazi amewataka wananchi kujitokeza kuhesabiwa tarehe 23.08.2022

Hata hivyo Mwenge utaendelea na ukaguzi wa miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Wilaya ya Mkalama.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.