• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

OPERESHENI UKAGUZI MIRADI YAENDELEA WILAYANI IRAMBA

Posted on: May 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego ameendelea na Ziara ya ukaguzi wa miradi mbali mbali ya maendeleo katika Wilaya ya Iramba Mkoani Singida leo Mei 15,2025 akikagua miradi iliyokamilika na ile inayoendelea maeneo mbalimbali.

Ukaguzi ulianzia katika Mradi wa Maji Katika Kijiji cha Nsunsu,Kata ya Ntwike,Tarafa ya Shelui mradi ulioanza kutekelezwa Mei 2024 na kukamilika Novemba 2024 kwa kutumia wataalamu wa RUWASA.Mradi huo umegharimu kiasi cha Shilingi 415,993,640 na una ujazo wa lita 50,000.

Kikundi cha Vijana  'NGUVU MOJA'kilichopo kilichopo Kata ya Tyegelo Kata ya Kidaru kilichopata mkopo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kiasi cha Shilingi 7,000,000 uliowezesha kikundi hicho kununua eneo la shamba ekari 4 kwa ajili ya mashine,kulipia eneo la kulima mpunga ekari 4 na kiasi kingine kuendeshea biashara ya kununua na kuuza mpunga.

Kikundi hicho baada ya kumaliza marejeaho ya mkopo wa awali kimeomba mkopo wa awamu ya pili wa Shilingi 22,000,000 ili kuweza kununua mashine ya kukoboa mpunga,kujenga jengo la kusimika mashine,kununua mpunga na kuuza mchele.

Ujenzi wa chumba kimoja cha Darasa Shule ya Msingi Luono iliyopo katika Kata ya Kidaru,Tarafa ya Kisiriri inayojengwa kwa mapato ya ndani ya Halmashauri itakayogharimu kiasi cha Shilingi 23,000,000 ambapo utahusisha ujenzi wa Chumba kimoja cha darasa,utengenezaji wa madawati 15,meza moja na kiti cha Mwalimu ambapo wanafunzi 45 watatumia darasa hilo.

Ujenzi wa Shule mpya ya Awali na Msingi Yombo iliyopo katika Kijiji cha Tulya,Tarafa ya Kisiriri.

 Umehusisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 7 vya Msingi,madarasa mawili ya Elimu ya Awali,matundu ya vyoo,kichomea taka,Jengo la utawala,Uzio wa Madarasa ya Awali na Viwanja vya Michezo.

Mradi huu unatarajiwa kuhudumia wanafunzi 272 wa madarasa ya awali na 226 wa Shule ya Msingi na kuwaepusha kutembea umbali mrefu kupata elimu hasa wanaotoka Vitongoji vya Yombo na Bambalaga.

Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Konkilangi kwa Mita 50,barabara ya maingilio yenye kilometa 1.5 kwa kiwango cha changarawe katika barabara ya Mkoa ya Shelui-Sekenke-Tulya-Tyegelo.Mradi huu upo katika Kijiji cha Konkilangi,Kata ya Ntwike unaogharimu kiasi cha Shilingi 6,698,257,300 ambapo unatarajiwa kuunganisha Mkoa wa Singida na Ukanda wa Ziwa kupitia daraja la Mto Sibiti ambalo limekwishakukamilika.

Ujenzi wa Zahanati mpya ya Mseko katika Kata ya Mgongo Tarafa ya Shelui ukihusisha ujenzi wa jengo la OPD&RCH,ujenzi wa jengo la wazazi,nyumba ya watumishi,ujenzi wa choo,kichomea taka,shimo la majivu,uzio pamoja na ujenzi wa mnara wa maji.Mradi huu unagharimu kiasi cha Shilingi 250,000,000 na unatarajiwa kuhudumia wananchi zaidi ya 3,337.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • "WAHITIMU MSIBWETEKE,JIENDELEZENI KATIKA FANI ILI MJIAJIRI"-DKT.MGANGA

    May 30, 2025
  • DKT.MGANGA:"WATUMISHI MSIKUBALI KUTUMIKA VIBAYA,KUWENI NA UTAMBULISHO MZURI"

    May 27, 2025
  • ANUANI ZA MAKAZI KUJA NA FURSA LUKUKI ZA MAENDELEO KWA WANANCHI

    May 26, 2025
  • WANAFUNZI NI SALAMA CHINI YA MRADI WA SHULE BORA .

    May 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.