• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RAS Singida aomba wadau wa Maendeleo kutia nguvu uboreshaji wa lishe

Posted on: November 10th, 2022

Wadau wa Maendeleo Mkoa wa Singida wameombwa kusaidia upatikanaji na uboreshaji wa Lishe mashuleni ili kuondoa changamoto ya utapiamlo kwa watoto wa chini ya miaka mitano pamoja wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.

Ombi hilo limetolewa leo tarehe 10.11.2022  na Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl. Dorothy Mwaluko alipokutana na Kamati ya Lishe ya Mkoa katika ukumbi wa Ofisi ya Mkoa huo.

 Amesema kwa sasa Mkoa unatekeleza afua mbalimbali za Lishe na inaendelea kutoa mafunzo ya Lishe na mapishi katika Hospitali, Zahanati na vituo vya Afya  na chakula mashuleni.

"Lishe ni  mtambuka  ambapo kila mtu anatakiwa kulitekeza kwa upande wake, tukitegemea fedha za Serikali peke yake tutachelewa, naomba wadau mbalimbali wasaidie kuongeza virutubishi kwenye vyakula mafuta ya kula unga wa uji na chumvi" alisema Mwaluko.

Aidha amewaagiza Maafisa Lishe Mkoani hapo kutembelea vituo vya Lishe pamoja na utoaji wa elimu kwa kina mama wajawazito na wananchi kwa ujumla.

Akiongea  kwa niaba ya Afisa Lishe Mkoa Cristowela amesema  Halmashauri zote zilifanya maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji kwa kutoa elimu ngazi ya kituo na jamii ambapo jumla ya wazazi na walezi 18,843 walipata elimu ya unyonyeshaji.

Aidha Cristowela amesema jumla ya vijiji  362 kati ya 441 sawa na asilimia 82 mitaa 23 kati ya 53 sawa na asilimia 43 waliadhimisha siku ya Afya na Lishe  na utoaji wa elimu ya lishe kwa makundi mbalimbali katika jamii.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.