• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Mahenge Aridhishwa na Kasi ya Maendeleo ya Miradi Iramba.

Posted on: April 12th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith  Mahenge ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya ya Iramba mkoani  hapa ikihusisha ujenzi wa  vituo vya afya, shule na visima vya maji lengo likiwa ni kusogeza huduma za kijamii kwa wananchi na kuondoa msongamano.

Akiongea leo na viongozi mbalimbali wa Wilaya ya Iramba Rc Mahenge ametaja miradi inayotekelezwa kwamba ni ujenzi wa shule ya Sekondari Maluga  inayotarajiwa kugharimu kiasi cha Tsh. Milioni 470, ujenzi wa vituo vya Afya vinne (4) vya Tyegelo, Kisiriri, Mwanduigembe na Ndulungu  pamoja na ujezi wa vyumba viwili vya madarasa  katika shule ya Sekondari za Tulya na Kisiriri ambavyo kwa ujumla wake vinagharimu kiasi cha Tsh.  Bilion 1.525 zitokanazo na tozo ya miamala ya simu.

Aidha RC Mahenge akawataka wasimamizi na wahandisi wa miradi mbalimbali wilayani hapo kuiga mifano ya miradi inaotekelezwa na Wakala wa usambazaji wa maji Vijijini na usafi wa mazingira  (RUWASA) ambapo wamekuwa wakisimamia miradi yao  kwa ufanisi na kuhakikisha thamani ya fedha inaonekana.

Katika taarifa yao RUWASA imeonesha kwamba katika Wilaya ya Iramba wana miradi mikubwa mitano (5)  katika vijiji vitano vya Maluga, Zinziligi, Kisiriri, wembere na Kaselya  pamoja na uchimbaji wa visima 24  katika vijiji mbalimbali ambapo miradi yote inagharimu kiasi cha Tsh.Bilion 3.304 na imetekelezwa kwa asilimia 70.

Awali akimkaribisha Mkuu wa Mkoa huyo, DC wa Iramba Suleimani Mwenda alisema Wilaya imepokea jumla ya Tsh.Bilion 1.119 kwa ajili ya Ujenzi wa miradi ya maji katika vijiji vinne huku ikipokea jumla ya Tsh. Milioni 940 kwa ajili ya Ujenzi wa shule mpya za Kata ya Maluga na Ndulungu.

Hata hivyo DC Mwenda akabainisha kwamba Wilaya ya Iramba imepata fedha  kiasi cha Tsh. Bilioni 1.473 zitokanazo na  ruzuku kutoka Serikali kuu ambapo zinatumika katika Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mtoa na ukamishaji wa madarasa 10 ya shule za msingi.

Aidha fedha hizo zinatumika pia katika Ujenzi wa madarasa Sita katika Shule za Sekondari sita pamoja na ukamilishaji wa vyumba  10 vya Maabara katika Shule za Sekondari tano wilayani hapo aliendelea kusema DC Mwenda.

MATUKIO KATIKA PICHA

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge akisisitiza jambo wakati alipotembelea kujionea ujenzi wa Kituo cha Afya Kisiriri wilayani Iramba

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.