• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Serukamba akutana na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU

Posted on: October 18th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba leo amekutana na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Neema Mwakalyelye na kujadili mambo kadhaa kuhusiana na kuzuia vitendo mbalimbali vya rushwa katika miradi na shughuli mbalimbali za kijamii.

Akiwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi huyo amesema lengo la ziara yake ni kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayofanyika Mkoani hapo ikiwa ni Mkakati mojawapo wa TAKUKURU kupinga na kupambana na rushwa.

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Neema Mwakalyelye akizungumza wakati wa kikao na Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba

'Ki msingi hapa tunatekeleza agizo la Rais linalotutaka tujikite zaidi katika kuzuia upotevu na ufujaji kabla fedha haijapote, kama tukiweza kuepuka hayo tija itakuwa kubwa." Amesema Mwakalyelye

Hata hivyo Mkurugenzi huyo amesema katika ziara yake anategemea kufanya kikao kazi ambapo atakutana na Watumishi wake kwa lengo la kutoa mafunzo kazi pamoja na kamati za maadili zilizopo Mkoani hapo.

Aidha amesema TAKUKURU imeendelea kujikita katika uzuiaji wa rushwa za aina zote kwa lengo la kuondoa ubazilifu na upotevu wa fedha za Serikali, ambapo amebainisha kuwa kwakufanya hivyo tija itakuwa kubwa na Watanzania watafaidi matunda ya nchi yao.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amepongeza ziara ya Mkurugenzi huyo huku akibainisha kwamba itasaidia katika kuzuia vitendo vya rushwa ambavyo vimekuwa vikiendelea katika minada na miradi mbalimbali Mkoani hapo.

Amesema rushwa ikidhibitiwa kikamilifu Serikali itaokoa kiasi kikubwa cha fedha ambacho kimekuwa kikikpotea au kuliwa na watu wachache na hata kiwango cha makusanyo ya mapato kitaongezeka.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba akizungumza katika kikao wakati alipotembelewa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Neema Mwakalyelye

" Binafsi nipongeze ziara yako kwa kuwa naamini itasaidia kuziba mianya ya rushwa, ninaamini ukipita huko kwenye miradi wataamini tunafatiliwa wataacha vitendo vya rushwa" alisema Serukamba

RC Serukamba ameeleza kwamba kwa ushirikiano baina ya Mkoa na TAKUKURU kutasaidia kubuni mipango Mkakati wa kufuatilia hasa katika miradi ya maendeleo na minada tutapunguza rushwa kwa kiasi kikubwa.

 Mwisho.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.