• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Serukamba asaini Mkataba wa Lishe na wa Wakuu wa Wilaya.

Posted on: October 25th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba tarehe 24.10.2022  amesaini Mkataba wa Lishe baina yake na Wakuu wa Wilaya ambao nao wamesaini na Wakurugenzi wao ili kutekeleza afua hiyo na kuhakikisha wananchi wanapata Lishe Bora na kuondokana na changamoto ya utapia mlo.

Akiongea na wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi hao wa Halmashauri Serukamba amewataka Wakurugenzi kuhakikisha wanatenga fedha kiasi cha Tsh.1000 kwa kila mtoto kama sehemu ya kuondoa tatizo la utapia mlo katika Mkoa huo.

Aidha amewaeleza viongozi wa Mkoa huo kuhakikisha wanasimamia zoezi la Lishe kwa kuwa huko ndio kuandaa kizazi Bora cha baadae.

"Tusiangale tu miradi ile ambayo matokeo yake ni hapo kwa hapo, hili la watoto kuwa na utapia mlo ni hatari sana kwakuwa tutakuwa na watu ambao hawaweze kufikiri vizuri" RC Serukamba

RC ameeleza kwamba Mkoani hapo vyakula vipo vya kutosha lakini uandaaji pamoja na elimu ya Lishe kwa ujumla bado haijawafikia wananchi.

"Wananchi wengi hapa Singida wanakimbilia matunda kwa ajili ya kuuza, mtu ana ng'ombe na mbuzi anakamua maziwa lakini yeye hanywi anauza, inabidi wataalamu tutoe elimu kwa wenzetu alisema Serukamba.

Hata hivyo amewashauri wataalamu wa afya kuanzisha darasa katika vituo vya Afya na Zahanati litakalofundisha namna ya kuandaa Lishe kwa ajili ya watoto na mama wajawazito.

Serukamba akatumia muda huo kumuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa na wa Wilaya pamoja na watu wa Lishe kuongeza utoaji wa huduma hiyo ili Mkoa utoke kwenye asimia 87 ya sasa na kufikia asilimia 100 mwakani.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.