• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC Serukamba atoa maagizo kwa Wakurugenzi wakati wa Mafunzo ya mfumo wa Mshitiri

Posted on: March 30th, 2023

Wakurugenzi wa Halmashauri Mkoani Singida wametakiwa kusimamia kikamilifu afua za mfumo wa ugavi wa bidhaa za Afya ikiwemo kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa dawa (Medicine Audit) katika vituo vya kutolea huduma kwa ajili ya kupunguza changamoto zinazotokana na usimamizi usioridhisha wa bidhaa hizo.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa huo Peter Serukamba alipokuwa akifungua Mafunzo ya wawezeshaji wa mfumo wa Mshitiri yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi hiyo ambapo walijifunza namna ya utekelezaji wa mifumo wa mshitiri (Prime Vendor System).

Aidha amewataka kuongeza usimamizi wa ukusanyaji mapato katika vituo vya kutolea huduma za Afya ili viweze kulipa washitiri kwa wakati mara baada ya kupokea sheena ya bidhaa na kuepusha madeni yasiyokuwa ya lazima.

Kwa upande wake Emanuel Mayunga muwezeshaji wa ngazi ya taifa amesema kwamba mafunzo hayo yameandaliwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi na kutekelezwa na Shirika la Swiss Tropical and Public Health Institute.

Aidha ameeleza kwamba mafunzo hayo ya mfumo mshitiri ambao yatasaidia katika uwezeshaji wa bidhaa za Afya zinazokuwa zimekosekana Bohari ya Dawa (MSD), hivyo kuimarisha na kurahisiha upatikanaji wa Bidhaa za Afya katika vituo vya kutolea huduma za Afya nchini.

Amesema lengo la mafunzo hayo ni kupata wawezeshaji wa Mkoa na Halmashauri (T.O.Ts) wa Mfumo wa Mshitiri ambao wataenda kufundisha na kuwasimamia watoa huduma katika vituo vya kutolea huduma za afya.

Aidha katika mafunzo washiriki wamewezeshwa utekelezaji wa Mfumo wa Mshitiri (Prime Vendor System) kwa kupitia Mwongozo wa Utekelezaji wa Mfumo wa Mshitiri (Prime Vendor System Implementation Manual) pamoja na mfumo wa kielektroniki wa usimamizi wa taarifa za Mshitiri (Prime Vendor Management Information System).

Naye Elikana Lubango Mfamasia wa Mkoa  ameeleza kwamba katika ngazi ya Mkoa imeshapata washitiri wawili wanaofahamika kwa jina la Umoja na mwingine ni Serengeti wakiwa ni washitiri wa madawa na vifaa tiba.

Mwezeshaji wa ngazi ya taifa Emmanuel Mhembano, ambaye pia ni Afisa TEHAMA Mkoa wa Singida akitoa mafunzo kwa washiriki.

Mwezeshaji wa ngazi ya taifa  Emanuel Mayunga  akitoa mafunzo kwa washiriki.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.