• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC SINGIDA AHIMIZA WATANZANIA KUNUNUA BIDHAA ZINAZOTENGENEZWA NA VETA KWA SABABU ZINAKIDHI VIWANGO KATIKA SOKO LA NDANI NA NJE YA NCHI.

Posted on: November 13th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amewahimiza Watanzania kununua na kutumia bidhaa zinazotengenezwa na Vyuo vya Ufundi Stadi (VETA) nchini ili kukuza uchumi na kuongeza fursa za ajira kwa Watanzania.

Mkuu wa mkoa wa SINGIDA ametoa wito huo katika Mahafali ya wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi RC Mission VTC wilayani Manyoni mkoani Singida alipokuwa akizungumza na wahitimu, wanafunzi, wazazi na viongozi mbalimbali wa Serikali ya halmashauri ya wilaya ya Manyoni waliohudhulia Mahafali hayo.

Mahafali ya wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi RC Mission VTC, Wilayani Manyoni mkoani Singida, yaliambatana na maonyesho ya bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na  wanafunzi hao ikiwemo fanicha, nguo mbalimbali (batiki), pamoja na huduma za magari na umeme.

Kwa upande wao wahitimu wa chuo cha ufundi stadi RC Mission VTC wameiomba Serikali ya halmashauri ya Manyoni kuwatambua wanafunzi hao kwa kazi nzuri wanazofanya.

Jumla ya wanafunzi 49 wamehitimu mafunzo ya Ufundi Stadi kati ya hao wasichana waliohitimu ni 4, suala ambalo Dktr. Rehema Nchimbi amesema wasichana wanapaswa kutambua nao wanahaki sawa kama ilivyo kwa wanaume, na kuahidi kuwalipia ada wanafunzi wa kike 3 kwa fani ya umeme 1 na ufundi magari 2, ikiwa kama motisha kwa wengine.


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.