• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC SINGIDA AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA MSAMAHA WA WAFUNGWA 139 MKOANI SINGIDA

Posted on: December 11th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amemshukuru Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kutoa msamaha kwa wafungwa 139 katika Magereza ya mkoa huo wakati alipokuwa akiwatoa wafungwa hao walioachiwa kwa msamaha wa Rais katika maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru na miaka 57 ya Muungano.

Dkt. Nchimbi ameyasema hayo Desemba 10, 2019 alipokuwa katika Gereza la mkoa alipofika kutekeleza agizo la Mhe. Rais kuwaachia wafungwa hao waliopata msamaha huo.

“Tunashukuru kwa Sababu sisi wana wa Singida tumenufaika kwa msamaha wa wafungwa 139 ni wengi sana, Mheshimiwa Rais alipokuwa akitangaza msamaha huo kati ya maneno aliyoyasema hataraji kwamba ‘mnapotoka hapa leo muende mkarudie makosa’ mkirudia makosa adhabu mtakayoipa ni kubwa sana, hatarajii mfanye makosa” Dkt. Nchimbi

Aidha mkuu wa Magereza wa Mkoa wa Singida Kamishna Msaidizi wa Magereza Msepwa Omary, ameyataja Magereza yaliyotoa wafungwa hao kuwa ni; Gereza la Singida wafungwa 60, Manyoni 37, Kiomboi Iramba 27, Ushora 15, kati ya hao, 136 ni wakiume na 3 wafungwa wakike.

Nao baadhi ya wafungwa walioachiwa huru wamemshukuru sana Mheshimiwa Rais Magufuli kwa msamaha aliotoa na kuahidi uhuru walioupata kufanya kazi kwa bidii katika kujenga uchumi wa familia na Taifa kwa ujumla.

Aidha wameushukuru uongozi wote wa Serikali ya mkoa wa Singida sambamba na askari wote walioshirikiana nao wakati wote walipokuwa kifungoni.

Zoezi hilo limeenda sanjari na utoaji wa vyeti uliofanywa na Mkuu wa mkoa Dkt. Rehema Nchimbi kwa wafungwa wote 139 walioachiwa huru.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.