• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RC SINGIDA : TUTAENDELEA KUSHIRIKIANA NA MASHIRIKA YA KIDINI ILI KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA ZA KIJAMII IKIWEMO ZA AFYA KWA WANANCHI.

Posted on: May 14th, 2024

Serikali ya Mkoa wa Singida imewahakishia Wadau wa Maendeleo ikiwemo Uongozi wa Hospitali ya Mtakatifu Gaspar ya Halmashauri ya Itigi Wilayani Manyoni kuwa itaendelea kudumisha ushirikiano uliotukuka katika shughuli mbalimbali wanazofanya ikiwemo utoaji wa huduma bora za msingi na za kibingwa za afya kwa wananchi wa mkoa huo.

Mkuu wa mkoa wa Singida Mheshiiwa Halima Dendego, ametoa kauli hiyo (tarehe 14/May/2024) wakati anazungumza katika maadhimisho ya Miaka 35 ya Hospitali ya Mtakatifu Gaspar Itigi.

Halima Dendego, amesema amefurahishwa na kazi kubwa inayofanywa na Viongozi na Watendaji wa Hospitali hiyo katika utoaji wa huduma za kiwango cha juu za afya ikiwemo mama na mtoto pamoja na uboreshaji majengo na vifaa tiba.

“Baraka na mkono wa Mungu uwe pamoja nasi na tuendelee kumwomba ili aendelee kutubariki zaidi ya hapa, Mhe. Halima Dendego.

Mkuu wa mkoa huyo amesema yeye na Watendaji wake wataendelea kutoa ushirikiano ili kuhakikisha mashirika yenye nia njema ya kuwaletea maendeleo ya uhakika wananchi wa mkoani Singida yanafikia malengo yao kwa kutoa huduma zao bila usumbufu wowote.

Aidha amesisitiza Viongozi wa Hospitali ya Matakatifu Gaspar Itigi kama wanachangamoto yoyote ambayo inaweza kusababisha kudumaza au kuchelewesha utoaji wa huduma za afya kwenye Hospitali hiyo wamweleze ili aweze kuzitafutia majawabu haraka iwezekanavyo ili wananchi waendelee kupata huduma bora za kisasa za afya.

Naye, Mkurugenzi wa Hospitali na Chuo cha Mtakatifu Gaspar Itigi Padre Justin Boniface, ameeleza kuwa mafanikio waliyoyapata katika utoaji wa huduma za msingi na za kibingwa za afya ni kwa sababu na ushirikiano mkubwa na karibu wanaoupata kutoka Serikalini.

Amesema mkakati wao ni kuhakikisha kuwa Hospitali ya Mtakatifu Gaspar ambayo kwa sasa inahudumia wagonjwa wengi kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Singida na nje ya mkoa huo inakuwa bora katika utoaji wa matibabu ya kisasa nchini ambapo kwa sasa wameanza ujenzi wa kitengo cha kusafisha damu kwa sababu ya uhitaji mkubwa wa wananchi.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.