• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

RUWASA SINGIDA YAOKOA MILIONI 100 UJENZI MRADI WA MAJI KIJIJI CHA SENENE WILAYANI MKALAMA, RC SERUKAMBA AHIMIZA WANANCHI KUTUNZA MIRADI HIYO

Posted on: December 17th, 2022

Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Singida umeokoa Sh.Milioni 100 katika ujenzi wa mradi wa maji kwenye kijiji cha Senene Wilayani Mkalama kutokana na kutumia Mkandarasi wa ndani.

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba, alisema hayo wakati wa uzinduzi wa mradi huo kwenye kijiji hicho ambao makadirio ilikuwa ugharimu zaidi ya Sh.milioni 570 lakini zimetumika chini ya hizo na hivyo kuokoa Sh.milioni 100.

Alisema namna bora ya kuishukru Serikali ni kuutunza mradi huo ili uweze kudumu kwa zaidi ya miaka 25 na jukumu la kuulinda ili usiweze kuharibika ni la kila mwananchi.

“Rais wetu wa Awamu ya Sita anawajali sana wananchi wake na anawekeza kwenye maisha ya watu, leo tunaenda kuzinduza miradi ya maji minne ambayo zaidi ya karibia Shilingi Bilioni 1.5 zilitumika kutatua tatizo la maji Wilaya moja tu ya Mkalama. Alisema RC Serukamba”

Serukamba alisema RUWASA wahakikishe maeneo yote yanayotoa huduma kwa wananchi katika Wilaya ya Mkalama kama vile shule, vituo vya afya, Polisi maji yapelekwe ili kuondoa changamoto ya maji kwenye maeneo hayo.

Aidha, aliwataka wazazi na walezi wenye watoto waliofikisha umri wa kwenda shule wawaandikishe kabla ya Disemba 30 mwaka huu ili waweze kuanza darasa la kwanza 2023.

"Nawaomba wazazi pelekeni watoto wenu wakaandikishwe shule, hadi sasa ni asilimia 49 tu ya watoto waliofikia umri wa kuanza shule Mkoa wa Singida ndio wameandikishwa," alisema.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Sophia Kizigo, alisema kati ya vijiji 70 vilivyopo katika Wilaya hiyo 63 vinapata huduma ya maji safi na salama na hivyo kufanya upatikanaji wa maji katika Wilaya kufikia asilimia 80.

Naye  Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mkalama, Antidius Mchunguzi, alisema mradi huo ulikuwa ugharimu zaidi ua Sh.milioni 569 lakini kutokana na kutumia mkandarasi wa ndani hadi kukamilika umegharimu Sh.milioni 475.

Mchunguzi alisema kukamilika kwa mradi huo kumeongeza kiwango cha asilimia 1.5 cha upatikanaji wa maji katika wilaya ya Mkalama na hivyo utapunguza muda wa upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa kijiji cha Senene.

Alisema faida nyingine za mradi huo ni kwamba utapunguza migogoro kwenye familia na kuongeza uchumi kwa wananchi.

Mheshimiwa Mbunge Francis Isack akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzi wa miradi ya maji wilayani Mkalama

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.