• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

SERIKALI Mkoa wa Singida imetenga Sh.Milioni 342.8 kwa ajili ya kutengeneza shughuli za lishe ambapo ni sawa na Sh. 1,239 kwa kila mtoto wa chini ya miaka mitano

Posted on: August 16th, 2022

SERIKALI Mkoa wa Singida imetenga Sh.Milioni 342.8 kwa ajili ya kutengeneza shughuli za lishe ambapo ni sawa na Sh. 1,239 kwa kila mtoto wa chini ya miaka mitano ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na tatizo la  utapiamlo na udumavu kwa watoto wadogo.

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba, alisema hayo wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2022  kati ya Mkoa wa Singida na Mkoa wa Dodoma yaliyofanyika katika shule ya msingi Bahi Wilayani Bahi mkoani Dodoma.

Alisema tatizo la utapiamlo limepungua kutoka asilimia 39 mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 29 lakini bado wataalamu wanaendela kutoa elimu huku wengine wakiendelea kuchunguza sababu za ziada za uwepo wa changamoto hiyo.

Serukamba alisema kwamba jumla ya wakina mama au walezi 422,275 sawa na asilimia 93.4 kati ya 452,061 wamepewa elimu juu ya unyonyeshaji wa watoto wachanga na wadogo.

"Serikali kupitia Mkoa wa Singida bado watafiti wanadelea kuchunguza sababu zinazochangia uwepo wa changamoto ya utapiamlo na udumavu kwa watoto wadogo huku ikiendela kutoa elimu katika ngazi tofauti lengo likiwa ni kuondoa tatizo hilo," alisema.

Serukamba alisema tarifa za kitaifa za demografia zinazofanyika kila baada ya miaka mitano zinaonesha changamoto kubwa ni ukondefu ambapo ni asilimia 4.2 na uzito kuwa pungufu kwa asilimia 18.2.

Alisema mkoa unaendelea kudadisi visababishi vya tatizo hilo la lishe duni katika jamii kwa kushirikisha wadau mbalimbali wa lishe ili kufanya tafiti za kina kuondokana na tatizo hilo.

Mkuu huyo wa mkoa ameziagiza Halmashauri zote za mkoa huu kuendelea kufanya usimamizi shirikishi kwa wazazi na walezi ili kuongeza uelewa ambao utasaidia kupunguza au kuondoa changamoto hiyo.

Alisema mkoa umejipanga kuendelea kutoa elimu kupitia majukwaa mbalimbali yakiwemo vyombo vya habari kuhusiana na elimu ya lishe kwa wajawazito na akina mama wanaonyonyesha na vijana balehe.

Serukamba amezitaka halmashauri zote za Mkoa wa Singida kuendelea kufanya kaguzi za chakula ikiwa ni pamoja na chumvi zenye madini ya joto.

Mwisho.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.