• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Serukamba afungua Kongamano la Kitaifa kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Barani Afrika.

Posted on: November 28th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba amesema kuna umuhimu mkubwa wa matumizi ya picha za anga (satellite) katika kutathmini mashamba na mazao yanayolimwa ili kukadiria idadi ya mavuno kulingana na mwendo wa upatikanaji wa mvua, uharibifu wa mazingira na athari zake kwa kilimo.

Kauli hiyo imaetolewa leo katika Mkutano wa ufunguzi wa Kongamano la Kitaifa kuhusu Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Utemini uliopo katika hoteli ya KBH mjini Singida.

Serukamba amebainisha kwamba nchi za Afrika zinaweza kuboresha mifumo ya uzalishaji wa Takwimu na kuwa ya kisasa (kidijitali) ambayo itaweza kuzalisha takwimu bora na kwa wakati.

Aidha ameendelea kueleza kwamba mifumo ya ukusanyaji wa takwimu ikiboreshwa itawezesha nchi kutabiri mambo yajayo katika uzalishaji na uwekaji wa akiba ya chakula.

Hata hivyo amebainisha kwamba Mkoa wa Singida umefanya tathmini ya mahitaji ya chakula kwa kutumia takwimu za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 ambapo mahitaji ya chakula kwa mwaka mzima ni Tani 542,175.7 ambapo Mkoa una chakula cha kutosha ambacho ni Tani 649,850 na ziada ya Tani 107,674.5.

Kauli ya Maadhimisho hayo ni kuimarisha mifumo ya kitakwimu kwa kutumia njia za kisasa katika uzalishaji na matumizi ya Takwimu za kilimo ili kuboresha sera kwa lengo la kuimarisha uvumilivu katika Kilimo, na usalama wa chakula Afrika.

Aidha amesema kauli mbiu hiyo ina elekeza utekelezaji wa mambo manne ambayo ni kuimarisha mifumo ya takwimu iwe ya kisasa, itumike katika kuboresha takwimu bora za kilimo, zitumike kuboresha sera na kuleta uhimilivu wa kilimo, Lishe na usalama wa chakula.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.