• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

SERUKAMBA AWAAGA WATENDAJI MKOANI SINGIDA KWA KUWAAGIZA MIRADI YOTE KUKAMILIKA KWA WAKATI

Posted on: March 9th, 2024

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba, leo tarehe 9 Machi, 2024 amehamishiwa kutoka Mkoa wa Singida kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringia na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Omar Dendego, kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida huku akiwaagiza watendaji kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati.

Kwa muujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 09 Machi, 2024 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses M. Kusiluka ambaye ni Katibu Mkuu Kiongozi, ikieleza mabadiliko madogo ya Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri imeeleza kuwa uteuzi na uhamisho huo unaanza leo tarehe 09 Machi, na uapisho wa Wakuu wa Mikoa utapangwa baadaye. 

Akiwa katika kikao cha kamati ya ushauri wa Mkoa (RCC) kilichofanyika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Singida Serukamba, ghafla alionyesha tabasabu na shahuku ya kuongea jambo huku wajumbe nao wakionesha tabasabu kwa kile kilichokuwa kimesambaa kwenye mitandao ya kijamii kikihusisha uteuzi na uhamisho huo.

Mara baada ya muda mfupi ndipo Serukamba aliposhindwa kuvumilia na kuamua kuwaambia wajumbe wa kikao hicho kwamba amehamishwa kutoka Mkoa wa Singida na kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringi na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Omar Dendego, kuhamia Mkoa wa Singida.

Aidha, Serukamba, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kumuamini katika nafasi hiyo na amemuahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii katika kuhakikisha anawatumikia Wananchi hao wa Mkoa wa Singida kikamilifu.

Hata hivyo Serukamba, amewashukuru Watumishi wa Umma wa Mkoa wa Singida, akianzia na Katibu Tawala Mkoa huo Dkt. Fatuma Mganga kwa ushirikiano aliyokuwa akiupata, watumishi wote wa Sekretarieti ya Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya, Wakurugenzi, Viongozi wa Dini pamoja na Wananchi wote kwa ujumla.

Katika hatua nyingine, wajumbe wa kikao hicho wamempongeza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo kwa katika kipindi chote cha uongozi wake Mkoani hapo wakisema hakika amekuwa ni kiongozi aliyekuwa akisukuma maendeleo ya mtu mmoja mmoja na wanasingida kwa ujumla hasa katika suala la kilimo cha utumiaji mbolea.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.