• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

SERUKAMBA AZIONYA HALMASHAURI ZINAZO LEGALEGA KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA LISHE.

Posted on: September 26th, 2022



Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba ameziagiza Halmashauri zote Mkoani hapo kuhakikisha wanatenga fedha kwa ajili ya Lishe bila kujali kiasi cha bajeti zilizopo.


Kauli hiyo ameitoa leo Jumatatu tarehe 26.09.2022  katika Kikao cha tathimini ya utekelezaji wa mkataba wa Lishe kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi hiyo ambapo ilioneka baadhi ya Halmashauri zilikuwa hazijatekeleza kiashiria cha kutenga fedha kwa ajili ya Lishe.


Serukamba amesema kama Halmashauri hazitaweza kutenga fedha hizo itasababisha kuongezeka kwa changamoto zinazosabisha lishe duni ikiwemo udumavu wa akili.


" Sipo tayari kuona watoto wanapata udumavu kwa kutopata Lishe Bora wakati wanachakula cha kutosha, kama Sheria imeweka utaratibu wa kutenga kiasi cha TSH.1000 kwa kila mtoto inakuaje Halmashauri isitekeleze agizo hilo? hii haikubaliki" Alisema


Aidha amewataka wataalamu wa Lishe kuaandaa vipeperushi na viwekwe katika Hospitali na Zahanati na vigawanywe kwa mama wajawazito na mama wanyonyeshaji vitakavyoonesha namna ya kuandaa vyakula vya watoto na wajawazito ili kuondoa tatizo la utapia mlo.


Hata hivyo Serukamba akabainisha kwamba Vikao vya kimkoa na vya Wilaya lazima vikae na kujadili mambo muhimu ya kijamii ikiwemo na la Lishe, na taarifa ipelekwe ofisi ya Mkuu wa Mkoa ili tuweze kuona na kuimarisha Afya za watoto.


Aidha amewataka waganga wakuu wa Wilaya kuwatumia wahudumu wa Afya ngazi ya jamii katika kuwabaini watoto wenye changamoto ya utapia mlo na kuwahudumia.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.