• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Shirika la Umeme Tanesco latakiwa kuimarisha ulinzi Katika miundombinu Yao

Posted on: May 17th, 2022

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoani Singida wametakiwa kuimarisha ulinzi katika vituo vyao  vya kupoozea Umeme kikiwemo cha mkoani hapo kama tahadhari ya kupambana na waharibifu wa miundombinu hiyo.

Kauli hiyo imetolewa tarehe 17.05.2022 na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge alipotembelea Kituo hicho na  kujionea walinzi wakiwa wachache ndio akabaini kwamba usalama  wa eneo hilo la uwekezaji pamoja na wafanyakazi wake haujitoshelezi.

Akiwa katika ziara hiyo iliyowashirikisha vyombo vyote vya usalama vya Mkoa huo RC Mahenge  akasema uwekezaji huo ni mkubwa  hivyo unahitaji ulinzi wa kutosha huku akiwataka Tanesco kushirikiana na Jeshi la Polisi kabla ya kupata walinzi wao ili kuimarisha hali ya usalama katika eneo hilo.

Aidha amemtaka Meneja wa Tanesco Singida kutembelea Wilaya ya Mkalama Manyoni na Itigi kwa kuwa eneo hilo  inasemekana  Umeme unakatika Mara kwa Mara na kuleta kero kwa wafanyabiashara.

Akipokea maelekezo hayo Afisa usalama wa Shirika la Umeme Tanesco Devisi Mkuche amesema tayari wameandaa mkakati wa kukabiliana na hali ya kuimarisha usalama katika Mradi huo ambao tayari kulishaanza kuwa na wezi wa vitu vidogovidogo.

Amesema wameendelea kuwa na ushirikiano wa karibu na Jeshi la Polisi ili kusaidia kukabiliana na hali hiyo wakati Shirika likiendelea kuandaa Mkakati wa kupata walinzi wake kupitia mashirika mbalimbali ya ulinzi.

Hata hivyo Mkuche ameeleza kwamba bado Mkandarasi wa mitambo hiyo  hajakabidhi  kwa Shirika jambo ambalo ililazimu swala la ulinzi kubaki mikononi mwa Mkandarasi huyo.

Kwa upande wake Meneja wa Mradi huo Deogratius Nyantumbaga amesema Mradi huo umeshakamilika kwa upande wa Singida na tayari wameshawasha Umeme hivyo wanategemea kukabidhi kwa Tanesco mwishoni mwa mwezi ujao.

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.