• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

SIKU YA WAUGUZI KITAIFA KUFANYIKA ITIGI KWA UFANISI MKUBWA.

Posted on: May 10th, 2017

   Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi ameridhishwa na maandalizi ya maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani ambayo kitaifa yatafanyika katika Hospitali ya St. Gasper halmashauri ya Wilaya ya Itigi tarehe 12 Mei, 2017.

Dkt. Nchimbi amesema hayo mara baada ya kukagua eneo la maadhimisho hayo pamoja na kukutana katika kikao kifupi na watendaji wa chama cha wauguzi Tanzania na watendaji wa hospitali ya St Gasper ambapo maadhimiyo hayo yatafanyika.

Amesema ana imani na uhakika kwa maadhimisho hayo yatafanyika kwa ufanisi mkubwa kutokana na maandalizi mazurri yaliyofanyika huku mgeni rasmi akiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye atawakilishwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Ummy Mwalimu.

Dkt. Nchimbi amewataka wauguzi kuitumia siku yao kuonyesha jinsi fani ya uuguzi ilivyokuwa ni fani ya upendo, huruma na kujitoa sadaka katika kuhudumia jamii hivyo wauguzi hao  wajitokeze kwa wingi.

Ameongeza kuwa wananchi wote wa mkoa wa Singida na wale wa halmashauri ya Itigi wajitokeze kwa wingi ili waweze kushirki maadhimisho hayo kwa kupata huduma bure na ushauri juu ya masuala ya afya zao.

Kwa upande wake Muuguzi Mkuu wa Mkoa wa Singida Bi Theresia Ntui amesema maadhimisho ya siku ya wauguzi yatatanguliwa na shughuli ya maonyesho ya shughuli za wauguzi.

Amesema maonyesho yatafanyika katika viwanja vya hospitali ya St. Gasper kuanzia tarehe 10 mpaka 11 Mei 2017 ambapo kutakuwa na huduma za bure kwa wananchi ambazo zitahusisha upimaji wa sukari, shinikizo la damu, Virusi vya Ukimwi na mafunzo kwa vitengo juu ya utengenezaji wa uji wa lishe kwa watoto.

Ameongeza kuwa wananchi wote hasa wazazi wote kuhudhuria mafunzo hayo ya bure ambapo wataelekezwa hatua kwa hatua namna ya utengenezaji wa uji bora wa lishe kwa kutumia vyakula asilia ambapo uji huo utawasaidia watoto pamoja na watu wazima kuwa na afya njema.

Bi Theresia Ntui amewasihi wauguzi wote Mkoani Singida na Mikoa ya jirani kuhudhuria maadhimsiho hayo ambapo wauguzi wote watarudia kiapo chao cha uuguzi pia kutakuwa na  maandamano ambapo watakuwa na fursa ya kuonyesha maoni yao.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.