• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Sikukuu ya Wafanyakazi Yafana Mkoani Singida, Viongozi Waahidi Kuondoa Rushwa na Uzembe Kazini.

Posted on: May 1st, 2022

Vyama vya Wafanyakazi, Waajiri pamoja na  Takukuru wametakiwa kushirikiana ili kuondoa aina zote za rushwa ikiwemo rushwa ya ngono katika upatikanaji wa ajira mkoani Singida.

Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Mkoa huo Dkt. Binilith Mahenge wakati akihutubia Wafanyakazi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani (Mei mosi) iliyofanyika katika uwanja wa Liti mkoani hapo. 

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge akihutubia Wafanyakazi kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani (Mei mosi) iliyofanyika katika uwanja wa Liti mkoani Singida

Mkuu wa Mkoa alibainisha hayo wakati akijibu risala ya chama cha Wafanyakazi mkoani hapo ambapo walibainisha uwepo wa rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi  katika zoezi la upatikanaji wa ajira.

RC Mahenge alisistiza kwamba katika kuadhimisha sikukuu ya Wafanyakazi mkoani hapo watumishi wanapaswa kuachana na mambo ya rushwa. "Takukuru nawaagiza mshirikiane na Waajiri pamoja na vyama vya wafanyakazi mkoani hapa ili kuondoa aina zote za rushwa ambazo zinaonekana pamoja na zile zilizosomwa katika risala na kiongozi wa vyama vya wafanyakazi mkoani hapa" alisema RC Mahenge.

Awali Katibu Tawala wa Mkoa huo Dorothy Mwaluko aliwataka Wafanyakazi kufanya kazi kwa juhudi na maarifa ili kuweza kuwatumikia Wananchi kama inavyotakikana.

Amesema kudai mishahara na marupurupu kuendane na utekelezaji wa majukumu yaliyo bora ili kuleta usawa wa vyeo na mishahara kulingana na mishahara inayotolewa.

"Nimeona Watumishia wa Serikali Mkoani hapa mkicheza kwaito na mkienda kwa Stepu kwa kupokezana  bila kukosea ikionesha umahiri mlionao Katika mchezo huo, niwaombe Stepu hizo zitumike  Katika kuwahudumia Wananchi katika ofisi zenu. Alisema Dorothy Mwaluko katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dorothy Mwaluko akizungumza na Wafanyakazi kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani (Mei mosi) iliyofanyika katika uwanja wa Liti mkoani Singida

Shamrashamra mbalimbali zikiendelea wakati wa Sherehe ya Mei mosi mkoani Singida

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.