• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

*SINGIDA YA VIWANDA UHAKIKA WA AJIRA NA SOKO LA ALIZETI*

Posted on: October 25th, 2024

Ajira Zaidi ya 190 za moja kwa moja na ajira 400 zisizo za moja kwa moja zinatarajiwa kunufaisha wakazi wa Mkoa wa Singida huku wakulima zaidi ya 26000 kunufaika na mradi wa kiwanda cha mafuta cha Wild Flower Grains&Oil Mill Company Limited kupitia uwekezaji mkubwa wa kimkakati uliokamilika kwa asilimia 95 mpaka sasa.

  Mhe.Jerry Silaa Waziri wa habari na mawasiliano na teknolojia ya habari,alipotembelea kiwanda hicho leo hii amesema ni wakati sasa wa Tanzania kupunguza kuagiza bidhaa nje ya nchi kwani maendeleo ya viwanda yatarahisiaha uchakataji,na upatikanaji wa bidhaa mbali mbali ikiwemo mafuta ya kupikia ambayo yatainua maisha ya wengi katika mchakato wa kupata malighafi kutoka kwa wakulima wa mazao,wasafirishaji mazao,na wauzaji wa bidhaa za kiwandani.

             Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego akizungumza katika ziara hiyo amewakaribisha wawekezaji kuwekeza katika Mkoa wa Singida kwani ni mahali salama na upatikanaji wa umeme na mazao ya biashara kama alizeti na vitunguu.

Amesisitiza wawekezaji wa ndani kujitokeza kayika kuwekeza katika fursa hizo za biashara kwa kuiga mfano wa wawekezaji wazawa wa kiwanda hocho cha mafuta kwani wamethubutu na wameweza kuifanya Singida kupiga hatua katika maendeleo ya viwanda.

"Wawekezaji wa ndani waje kujifunza hapa kwetu Singida kwani wataalam wetu wote katika kiwanda hiki kuanzia ujenzi wa msingi wa kiwanda hiki ni vijana wetu wazawa wa hapa hapa Tanzania wakitengeneza bidhaa na kuendesha mashine"

Akiwasilisha taarifa ya mradi wa kiwanda hicho cha mafuta Jamal Shaban,amesema kuwa mipango ya baadae ya kiwanda hicho ni kufanya utanuzi wa kiwanda na kuongeza mashine za kusaga mahindi ili kupata unga na kuongeza mashine za kukoboa mpunga ili kupata mchele kwa lengo la kuongeza thamani ya mazao yanayozalishwa hapa nchini ili kuweza kuuza bidhaa zilizoongezwa thamani.

"Kwa kuongeza mashine za kusaga na kukoboa mahindi na mpunga tutaongeza thamani ya mazao yetu yanayozalishwa hapa nchini na kuuza bidhaa bora zilizoongezwa thamani".alisema Jamal

Wamiliki wa kampuni inayotekeleza nradi huo ni wazawa wenye uzoefu wa zaidi ya miaka 18 katika uwekezaji wa miradi ya kilimo na viwanda huku mradi huo ukiwa na thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 63 wakiwa na uwezo wa kusaga tani 225 za mbegu za alizeti kwa siku ikiwa matarajio ya uzalishaji wa mafuta kwa siku ni tani 75 na tani 2,250 kwa mwezi ambayo yatauzwa ndani na nje ya Mkoa wa Singida.


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.