• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

SINGIDA YAFANYA VIZURI SENSA YA WATU NA MAKAZI, KAYA ZAHESABIWA KWA ASILIMIA 123

Posted on: September 19th, 2022

MKOA wa Singida umefanikiwa  kuhesabu kaya kwa kiwango cha asilimia 123 na idadi ya majengo kwa asilimia 121 katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika Agosti 23, mwaka huu.

Mratibu wa Sensa ya Watu na Makazi Mkoa wa Singida, Naing'oya Kipuyo, ameyasema hayo leo Septemba 19, 2022 wakati akitoa taarifa ya zoezi hilo kwa Kamisaa wa Sensa nchini, Anne Makinda katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo ambacho kilihudhuriwa na wajumbe wa Kamati ya Sensa ya Mkoa.

Alisema Mkoa wa Singida uliweka makisio ya kuhesabu kaya 319,816 lakini hadi zoezi linakamilika kaya zilizohojiwa ni 394,171 sawa na asilimia 123.

Kipuyo amesema kwa upande wa majengo makisio yalikuwa kuhesabu majengo 390,064 lakini hadi mwisho wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi majengo 470,034 yalifanyiwa.

Naye Kamisaa wa Sensa, Anne Makinda, amesema mafanikio makubwa yamepatikana kutoka na ushirikiano uliokuwepo kwa makundi yote wakiwamo wanasiasa, viongozi wa dini ambapo hakuna aliyepinga zoezi la sensa.

Makinda amewashukru wananchi kwa uzalendo wa nchi yao na kwamba hili limedhihirisha kuwa kumbe tukipanga jambo kwa kuweka  uzalendo mbele  hakuna linaloweza kushindikana.

Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi, Anne Makinda akizungumza wakati wa kikao cha tathimini ya zoezi la Sensa kwa mkoa wa Singida. (kulia) Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dorothy Mwaluko, (kushoto) Mratibu wa Sensa Mkoa wa Singida Naing'oya Kipuyo.

"Hatukusikia lapushalapusha Singida isipokuwa mikoa michache ambayo kulikuwa na changamoto kulipa makalani, kimsingi tuseme uzalendo unaweza kuondoa kila kitu kinachoweza kuwa mgogoro kwetu," amesema Makinda.

Naye Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dorothy Mwaluko,  alisema mkoa uliuchukulia kwa uzito mkubwa zoezi la Sensa kwa kuhakikisha zoezi linaeleweka kuanzia ngazi ya halmashauri mpaka vijijini.

Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dorothy Mwaluko akizungumza wakati wa kikao cha tathimini ya Sensa ya Watu na Makazi mkoani hapa.

Mwaluko amesema watu walishiriki kwa uaminifu kiasi kwamba hata maeneo ambayo tulijua hatuwezi kuyafikia lakini yalifikiwa kutokana na ushirikiano wa Kamati za Sensa za wilaya na ngazi ya mkoa.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 3000 SINGIDA.

    May 09, 2025
  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.