• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Taasisi za kifedha za Kanda ya Kati na Mashariki zashauriwa kupunguza riba katika mikopo ya Kilimo

Posted on: March 31st, 2023

Taasisi za kifedha za Kanda ya Kati na mashariki zikiwemo Benki zimeshauriwa kupunguza riba katika mikopo ya Kilimo kufikia asilimia tisa (9) au chini ya hapo ili kuendelea kuwasaidia wakulima waweze kufaidika na mikopo ya Kilimo na shughuli za kilimo kwa ujumla.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba,  wakati akifungua Mkutano wa uzinduzi wa kampeni ya kujadili namna ya utunzaji wa mazingira (Kijanisha Maisha) uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kanisa Katoliki uliopo mjini Singida chini ya Shirika la Kilimo la PASS.

RC Serukamba ameeleza kwamba kwa kupunguza riba katika mikopo ya kilimo ni kuunga mkono maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan hadi asilimia tisa hivyo akatumia fursa hiyo kuzipongeza benki ambazo zimefuata agizo hilo.

Aidha Serukamba amewaomba wadau wa kilimo kuendelea kufanya shughuli za uzalishaji kwa kuzingatia kanuni za ukuaji wa kijani shirikishi kama ambavyo PASS Trust wanavyoshauri lengo likiwa ni kuongeza utunzaji wa mazingira na kuzalisha kwa tija.

Hata hivyo RC amelipongeza Shirika la Pass Trust kwa ubunifu ambao wameendelea kuchukua katika kukabiliana na changamoto za wakulima katika mnyororo wa thamani.

Kwa upande wake Kaimu Meneja wa Shirika hilo Herimani Bashiri amesema Shirika limepata mafanikio makubwa kupitia udhamini wanaoufanya katika  miradi ya kilimo ufugaji na misitu pamoja na biashara kupitia mnyororo wa thamani katika kilimo.

Bashiri amesema kwamba Shirika la PASS limetoa ajira kwa watu Milioni 2.7 kati yao wanawake wakiwa ni zaidi ya laki 3.4 na wengi wao wakiwa ni vijana.

Aidha ameeleza kwamba Shirika kwa sasa lina vituo atamizi katika eneo la Chuo Kikuu cha  Kilimo (SUA) Morogoro na Dodoma ambapo vijana wanajifunza mambo mbalimbali ya kilimo ufugaji na misitu.


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.