• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

TAKUKURU kuchunguza tozo za soko la Vitunguu Singida

Posted on: May 10th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoani hapo kuchunguza uhalali wa fedha wanazotozwa wafanya biashara wa Soko la vitunguu Misuna lililopo kata ya Misuna katika Manispaa ya Singida na kuwachukulia hatua wote watakaobainika kuchukua fedha kinyume na utaratibu.

Serukamba ameyasema hayo alipotembelea soko hilo na kusikiliza kero za wafanyabiashara ambapo wengi walilalamikia kutozwa sh.200 kwa kila gunia la vitunguu, kila wiki washusha mizigo hutoa 5000, kila gari likiangia linachajiwa 10,000 na madalali kutoa 2,000 fedha zote hizo hakuna risiti inayotolewa huku wakiendelea kutoa ushuru wa soko hilo.

Amesema utaratibu ni kwamba kila fedha inayotolewa lazima mtoaji apewe risiti vinginevyo vinapotelea kwenye mifuko ya watu hivyo kuwaagiza TAKUKURU kuchunguza kama kuna jinai wawachukukie hatua huku akiwataka taasisi hiyo kujikita zaidi kwenye kuzuia zaidi ili hali hiyo isiendelee.

Malalamiko mengine ni ukosefu wa miundombinu ya soko kama uzio, uchafu kutozolewa kwa wakati hivyo kusabaisja harufu kali na kukosekana vijana au vizuizi vya mvua au jua jambo ambolo RC Serukamba alimuagiza Mkurugenzi wa Manispaa kuanza kufunika eneo hilo kwa awamu na ianze kabla ya mwezi wa Saba.

Hata hivyo  Mkuu wa Mkoa huyo amepiga marufuku wafanyabiashara kutozwa ushuru mara mbili ndani ya Mkoa mmoja na kuwataka Wakuu  wa Wilaya kulisimamia kwa kuwa watakaoumia zaidi ni wakulima.

Marufuku hiyo imetokana na malalamiko ya wafanyabiashara kulalamikia mageti ya Manyoni na  Kintinku ambapo wamesema wanapoteza muda mrefu kwa ukaguzi ambao unafanyika sokoni na vibali wamepewa.

Aidha Serukamba amesema atawasiliana na Mamlaka husika ili kuhakikisha nchi nzima wanakuwa na kipimo cha gunia la vitunguu unaofanafa ili kuleta ushindani sawa.

"Haiwezekani Singida tunajaza gunia kwa vipimo vya Serikali ambapo tunapinga rumbesa lakini maeneo mengine wanaachwa hii haileti ushindani sokoni' Alisema Serukamba.

RC Serukamba ametoa wito kwa wafanyabiashara kufuata sheria kanuni na taratibu katika biashara zao ili kuondoa changamoto ambazo zinawakabili maeneo mbalimbali.

Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhadisi Paskas Muragili akizungumza wakati wa ziara hiyo.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida Mheshimiwa Yagi Kiaratu akizungumza wakati wa ziara hiyo.

Mwenyekiti wa Soko la Vitunguu mkoani Singida Iddy Mwanja akizungumza wakati wakati  Mkuu wa Mkoa wa Singida alipotembelea soko.



Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.