• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Tumejipanga kuimarisha usalama wa chakula ndani ya mkoa – Dkt Binilith Mahenge.

Posted on: November 16th, 2021


Mkoa wa Singida unatarajia kuvuna  jumla ya tani 1,166,464.7 za mazao mbalimbali ya chakula yanayotarajiwa kulimwa kwenye hekta 585,744.9 katika msimu wa kilimo wa 2021/22 ndani ya  maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Singida.

Kauli hii imetolewa leo 16.05.2021 na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge katika kikao kazi cha uzinduzi wa ugawaji wa mbegu kupitia mradi unaofadhiliwa na mfuko wa kimataifa  wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) kwenye Sekta ya Kilimo uliofanyika katika ukumbi wa Socia Holl uliopo mjini Singida,  ambapo amebainisha kwamba wakulima wamejiandaa ipasavyo katika msimu huu wa kilimo.

Akiwa katika uzinduzi huo Dkt. Mahenge amebainisha kwamba Mkoa unatarajia kupanda zao la mahindi katika eneo lenye ukubwa wa hekta 269, 175.6  ambapo matarajio ni kuvuna  tani 501,526.3 wakati mpunga ukilimwa katika eneo la hekta 23,584.4 na kuvunwa tani 70,187.

Aidha  mazao mengine ni mtama uwele ulezi ngano mihogo viazi  vitamu na viazi mviringo ambavyo kwa jumla ya mazao yote  kutatumika  eneo lenye ekari 585,744.9 ambalo liltatoa mavuno kiasi cha tani 1,166,464.7 alifafa nua RC Mahenge.

Dkt. Mahenge amefafanua kwamba katika msumu huu wa kilimoa mkoa unatarajia kulima mazao mbalimbali ya biashara  yakiwemo pamba , korosho, vitunguu, alizeti, Karanga, Choroko na Dengu  ambapo eneo litakalolimwa mazao haya ni hekta 352,510.7.

Hata hivyo RC Mahenge akaendelea kufafanua kwamba katika msimu huu wa kilimo ,kwa upande wa  mazao ya biashara Mkoa unatarajia   kutoa mavuno  yapatayo tani 955,200.5 ambapo  wakulima na wananchi wa Singida watapata faida na kuongeza vipato na kuboresha maisha yao.

Awali akitoa takwimu za chakula  Mkuu wa Mkoa  amesema kwamba msimu wa mwaka jana eneo la Kilimo lilikuwa hekta 525 za mazao ya chakula zilizozalisha  tani 821,881.7 ambayo ni ongezeko lililotokana na kuongezeka kwa tija katika kilimo iliyosababishwa na wakulima kutumia kanuni bora za kilimo.

Matumizi ya pembejeo na  kanuni bora za kilimo zimechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara na kusaidia kuimarisha usalama wa chakula kwa wananchi wa mkoa wa singida alimalizia Dkt. Binilith Mahenge

Kikao hicho kiliwahusisha  wizara ya Kilimo,wakuu wa Wilaya zinazolima alizeti, Makatibu Tawala  wa mikoa ya Dodoma Singida,simiyu na Manyara  pamoja na shirika la kimataiffa la kilimo (IFAD)

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.