• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Tupande miti ya vivuli na matunda katika miradi niliyoitembelea" RC Serukamba.

Posted on: June 6th, 2023

RC Serukamba amesema kila Mkuu wa Shule aone umuhimu wa kuendeleza zoezi la utunzaji wa mazingira kwa upandaji miti, nyasi na matunda katika maeneo ya shule ili wanafunzi wapate mahali pa kupumzikia na matunda kwa ajili ya kuboresha afya zao.

Maelekezo hayo ameyatoa leo  tarehe 06.06.2023 akiwa katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Ikungi katika Shule ya Msingi Matare iliyopo kata ya  Unyahati ambapo akimshukuru Mkuu wa Shule kwa usimamizi mzuri wa ujenzi huo pamoja na kujionea kilimo cha migomba kilichoshamiri eneo hilo.

Amesema kwa nyakati hizi kila mtu anatakiwa kupambana na changamoto ya utapia mlo kwa watoto hivyo kuwashauri walimu wakuu kuendelea kusimamia kilimo cha bustani, miti na matunda kwa faida ya wanafunzi.

Serikali imekua ikitoa fedha kiasi cha Tsh. 1000 kwa kila mtoto kupitia Halmashauri lengo likiwa ni kuboresha lishe na kuondoa udumavu kwa watoto sasa ni wakati muafaka kwa shule kuwa na nyongeza ya mboga za majani na matunda kwa watoto.

RC Serukamba amezielekeza Halmashauri zote Mkoani hapo kuhakikisha wanazipatia shule miti ya kupanda maeneo yanayowazunguka na walimu wakuu kusimamia bustani za mboga na matunda.

Hata hivyo RC ameendelea kukagua miradi mbalimbali Wilayani Ikungi kwa siku ya pili mfululizo ambapo leo amekagua Mradi wa maji Kata ya Unyahati Kijiji cha Matare ulio gharimu jumla ya Tsh. Milioni 386.8 ambapo inategemewa kuhudumia wakazi 5036.

Miradi mingine ni shule za msingi za Dung'unyi, Ikungi B, na Shule ya Msingi Matare na Hospitali ya Wilaya, Barabara  ya kutoka Ikungi kwenda Matongo yenye urefu wa km 1.5.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.