• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Ushirika Imara ndio utakaobadilisha hali ya Kilimo Mkoani Singida - RC Serukamba

Posted on: November 29th, 2022

Viongozi wa vyama vya Ushirika wa Kilimo Mkoani Singida wametakiwa kuhakikisha wanasimamia Ushirika uimarike ili kuwasaidia wakulima kupata pembejeo za kilimo, utaalamu na masoko ya bidhaa zao.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba, alipokuwa anafungua Mkutano Mkuu wa 27 wa Ushirika kwa mwaka 2022 uliofanyika katika ukumbi wa Kanisa Katoliki (Social) uliopo Singida Mjini ambapo ameeleza umuhimu wa uwepo wa Ushirika imara ambao utasaidia kuondoa changamoto za wakulima.

Amesema vyama vya Ushirika kwa sasa havina msaada mkubwa kwa wakulima kwa kuwa haviwasaidii kupata pembejeo wala masoko na utaalamu ikilinganishwa na ushirika wa kipindi cha nyuma ambapo wanaushirika waliweza kusomesha watoto wao kwa kupitia ushirika huo.

"Lazima tutafute msingi wa Vyama vya ushirika ili viweze kuwasaidia na kuwakomboa wananchi kama ilivyokuwa kipindi cha nyuma ambapo uliweza kusaidia kusomesha na ulisaidia kudai Uhuru" RC Serukamba

Aidha Serukamba amesisitiza uwepo wa uwazi katika shughuli za Ushirika kwa kuwa chombo hicho ni cha hiyari kujiunga hivyo ni muhimu kuwepo kwa uwazi ili wanachama wajue kinachoendelea katika  vyama vyao.

Hata hivyo Serukamba amefafanua kwamba wapo wakulima ambao walipeleka mazao yao katika ushirika lakini mpaka sasa hawajaweza kupata fedha zao kutokana na ushirika kushindwa kuwatafutia masoko ya uhakika.

RC ameelekeza wakulima kabla ya kutambua aina ya zao analolima ni muhimu kuanzia sokoni ili kujua mahitaji ya soko ambapo alisema kwamba ni jukumu la ushirika ulio imara.

Akimalizia hotuba yake amesema ushirika ndio chombo pekee ambacho kitaondoa utapeli na madalali katika Kilimo ambao husababisha wakulima kuuza mazao yao yakiwa shambani kwa bei ndogo.

Mkutano huo ulihudhuriwa na Viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili, Meya wa Manispaa ya Singida Yagi Kiaratu, Kamishina wa Tume ya Ushirika pamoja na Naibu Mrajisi wa Vyama vya ushirika.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.