• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

VETA Watakiwa Kuhamasisha vijana wa Sekondari kujifunza ufundi.

Posted on: February 28th, 2023

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA ) wameshauriwa kuimarisha mifumo kuanzia chini kueleza umuhimu wa ufundi na faida zake ili kuwavutia vijana wengi kujiunga katika vyuo hivyo.

Ushauri huo umetolewa leo na Katibu Mkuu CCM Taifa Daniel Chongolo, alipotembelea ujenzi wa majengo ya Chuo cha VETA Ikungi na kusihi kutengeneza programu ya kueleza umuhimu wa ufundi na faida zake ili kuongeza kipato na kuimarisha dhana ya ujasiriamali.

Amesema kwa sasa Taifa lina vyuo vichache vya Serikali ambavyo vinatoa elimu ya kati hivyo kusababisha watumishi kwenye mashirika mbalimbali kushindwa kusimamia upatikanaji wa uzoefu kazini.

Chongolo alisema tunaweza kuwa na vyuo vingi vya VETA lakini usipowekwa mfumo mzuri wa kuwafanya vijana waone umuhimu wa kujiunga na vyuo hivyo tutajikuta tunabaki na majengo tu ambayo hayawanufaishi wananchi.

"Anzeni kutengeneza programu ya kwenda chini kwenye shule za Sekondari ili kabla vijana hawajamaliza kueleza umuhimu wa ufundi, faida zake na namna unavyoweza kuzifikia faida hizo," alisema.

Alisema Serikali katika miaka hiyo mitatu imekuwa ikitoa fursa ya mafunzo ya ufundi bure lakini jambo la msingi ni VETA kupata vijana wa kutosha wanaojiunga na vyuo hivyo.

Naye Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Kati, John Mwanja, alisema ujenzi wa chuo cha VETA Ikungi ulianza katika bajeti ya 2019/2020 ambapo hadi sasa Sh. Bilioni 2.3 zimeshatumika katika ujenzi huo ambao utakamilika Aprili mwaka huu.

Mwanja alisema ili chuo hicho kiweze kuanza kazi kwa ajili ya kukamilisha ujenzi, Serikali imetoa Sh. Milioni 259 na kwamba kitakapoanza kitaanza kutoa mafunzo ya kozi ndefu kwa wanafunzi 240 na wa kozi fupi kati wanafunzi 250 hadi 900 kwa mwaka.

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.