• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Vijana 47 Mkoani Singida wapata Mafunzo ya kijiditali kubadilisha data za Ardhi

Posted on: May 5th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge leo amefunga Mafunzo  wakufunzi yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Social uliopo mjijini hapo wakijiusisha wataalamu mbalimbali wa upimaji wa ardhi na wachora ramani kutoka maeneo mbalimba hapa Nchini.

Mafunzo hayo yalidumu kwa muda wa Siku kumi (10) na  yalilenga kuwafundisha wataalamu namna ya kubadilisha data ziwe kijiditali ambapo watawafundisha wengine katika mikoa mbalimbali.

Akiongea katika Mafunzo hayo RC Mahenge amewataka vijana hao kutumia vyema mafunzo  waliyoyapata ili taarifa hizo ziweze kutumika kikamilifu katika uwekaji wa anwani za Makazi.

Amewataka wakufunzi hao kutumia muda uliobaki kufikia Siku ya sensa kwa kuhakikisha wanakamilisha zoezi la kutoa Mafunzo kwa wengine ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. 

Naye Kamishina  Msaidizi wa Ardhi Shamimu Hoza amesema kundi hilo la vijana baada ya Mafunzo hayo litasambazwa katika mikoa Saba ili kutoa elimu na kuendeleza kazi ya ubadilishaji wa taarifa kwenda katika digitali. 

Aidha kundi hilo lenye vijana wapatao 47 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara na Visiwani linategemewa kuchochea mabadiliko makubwa katika kuyafikia malengo iliojiwekea alifafanua Kamishna

Amesema taarifa hizo zitasaidia kubaini maeneo ya makazi hifadhi na maeneo yenye matumizi mengineyo hasa katika kipindi hiki cha kuweka Anwani za Makazi alifafanua Shamimu 

Hata hivyo Shamimu alimalizia kwa kuziomba taasisi nyingine kutoa ushirikiano au msaada wowote utakapohitajika  hasa katika matumizi ya Tehama au endapo vitendea kazi vitaleta usumbufu wa aina yeyote.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KILIMO CHA MASHAMBA YA PAMOJA YA KOROSHO, WILAYA YA MANYONI – SINGIDA May 02, 2022
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • SINGIDA INVESTMENT GUIDE February 23, 2021
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2022 - MKOA WA SINGIDA December 24, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Dkt. Mahenge Atangaza Fursa kwa Wawekezaji Mkoani Singida

    May 14, 2022
  • Madiwani Watakiwa kushiriki kikamilifu zoezi la uwekaji wa Anwani za Makazi na Posti Kodi Wilayani Manyoni

    May 11, 2022
  • Taasisi binafsi zatakiwa kuonesha ushirikiano katika uwekaji wa Anwani za Makazi Manispaa ya Singida.

    May 10, 2022
  • Watendaji wa Makiungu, Mungaa Watakiwa kufanya "Data Cleaning" Katika zoezi la uwekaji wa Anwani za Makazi.

    May 09, 2022
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida. Haki Zote Zimehifadhiwa.