• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Viwanja vilivyouzwa kwa mkopo Wilayani Manyoni kurudishwa Serikalini.

Posted on: June 21st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kurejesha viwanja vyenye thamani ya Tsh. Milioni 533 ambavyo viliuzwa kwa mkopo ambapo vimesabasha hoja ya Ukaguzi.

Akiongea katika Kikao Maalum cha kupitia hoja za ukaguzi kilichofanyika leo tarehe 21.06.2023 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo alibainisha kwamba ili hoja hiyo ifungwe ni lazima kutolewa tangazo (notice) la kurejesha viwanja hivyo.

RC Serukamba amesema anatoa kipindi cha siku 7 (wiki moja)  Halmashauri hiyo iwe imetangaza kwenye vyombo mbalimbali vya habari ambapo tangazo hilo litatumika kama kiambatanisho cha kufunga hoja hiyo kwa kuwa viwanja vitakuwa katika umiliki wa Halmashauri hiyo.

Hata hivyo Serukamba ametoa onyo kali kwa watumishi na viongozi wa Halmashauri kuacha kuuza mali za umma kwa mkopo jambo ambalo amelieleza kwamba kuna uwezekano viwanja hivyo vimehodhiwa na watumishi hao.

"Iwe mwanzo na mwisho kuuza mali za umma kwa mkopo, na inawezekana viwanja hivyo vinamilikiwa na watumishi kama madalai ili wakiuza kwa faida ndio walipe madeni yao"  Serukamba.

Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Jumanne Mlagaza, amemueleza RC Serukamba kwamba baadhi ya Madiwani ni miongoni mwa ambao waliochukua sehemu ya viwanja hivyo na kutovilipia hivyo kuwataka kuvilipia kabla ya matangazo ama sivyo kuvirejesha Halmashauri.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga, amekemea tabia ya kutokamilisha miradi kwa vigezo vya kwamba fedha hazitoshi wakati kila ujenzi Serikali ilishafanya hesabu na kubaini fedha wanazozituma.

Ras ameeleza kwamba miradi mingi haikamiliki kwa sababu Maafisa ugavi kuongeza fedha jambo ambalo husababisha kutumia fedha nje ya bajeti na kusababisha hoja za ukaguzi.

Amewaomba Madiwani kuwa sehemu ya miradi ili kusaidia uhamasishaji kwa wananchi kushiriki nguvu kazi ili kupunguza gharama za ujenzi.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba, akisisitiza jambo wakati wa Kikao Maalum cha kupitia hoja za ukaguzi kilichofanyika leo tarehe 21.06.2023 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Jumanne Mlagaza, akizungumza wakati wa kikao hicho.

Sehemu ya Wajumbe kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mkoa wa Singida wakiwa katika kikao hicho.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.