• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

VYOMBO VYA WATUMIA MAJI VYATAKIWA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI

Posted on: July 7th, 2024

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2024, Godfrey Mnzava, amevitaka vyombo vya Watumia maji (CBWSO) kutoa huduma ya maji kwa wananchi wote bila upendeleo na kuendelea kutunza miundombinu ya mradi ili iendelee kutoa huduma ya maji kwa muda mrefu.

Ametoa agizo hilo leo (Julai 7, 2024) baada ya Mwenge huo kutembelea mradi wa maji uliopo katika kijiji cha Matare Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida.

Amesema Serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi sana kwa ajili ya kujenga miradi ya maji ili kuwawezesha wananchi kuondokana na kero ya ukosefu wa maji hivyo njia pekee ya kuifanya miradi hiyo iwe endelevu ni kutunza vyanzo vya maji.

Aidha, Kiongozi huyo wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa ameendelea kusisitiza kuitaka Wakala wa Usambazaji Maji na Safi wa Mazingira Vijiji (RUWASA) kuziwezesha kimafunzo Jumuiya za Watumia Maji.

Naye Meneja wa RUWASA Wilaya ya Ikungi, Shafii Shabani, amesema  ujenzi wa mradi huo wa maji ulianza Januari 19, 2022 na umekamilika April 30, 2023.

Amesema chanzo cha maji cha mradi huo ni Kisima kirefu kilichochimbwa katika kijiji cha Matare na chenye kina cha 160m kikiwa na uwezo wa kuzalisha maji lita 5,600 kwa saa na tabgu la kuhifadhia maji linahifadhi lita 75,000.

Shabani amesema mradi huo hadi kukamilika kwake umedharimu 332,736,915.50, ambazo kati ya hizo Sh.327,521,815.50 zimetolewa na Benki ya Dunia kupitia program ya P4R na Sh. 5,215,100 zimetolewa na  chombo cha watumia maji (CBWSO).

Meneja huyo ameongeza kuwa faida zamradi huo ni kuwawezesha wananchi wa kijiji cha Matare kupata huduma ya maji safi na salama na ya kutosha kwa matumizi ya kawaida na ya kiuchumi, kupunguza maambukizi ya magonjwa yatokanayo na ukosefu wa maji safi na salama na kuwapatia wananchi muda wa kutosha kufanya shughuli za kiuchumi.

Shabani amesema mradi huu ulisanifiwa kuwahudumia wakazi 5,036 wa kijiji cha Matare lakini kwa sasa mradi unahudumia wakazi 3,083.

MWISHO

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.