• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Wakurugenzi Watakiwa kukamilisha Ujenzi ifikapo Desemba 15, 2022

Posted on: November 30th, 2022

Wakurugenzi wa Halmashauri Mkoani Singida wametakiwa kukamilisha na kukabidhi vyumba vya madarasa ifikapo tarehe 15 Desemba, 2022

Maelezo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Serukamba, leo akiwa kwenye ziara ya kukagua ujenzi wa vyumba vya madarasa katika Halmashauri ya Manyoni na Itigi.

Akiwa katika shule ya Sekondari Itigi iliyopo Halmashauri ya Itigi Serukamba alimuagiza Mkurugenzi Mtendaji kutumia fedha za ndani kuongeza chumba kingine cha darasa katika shule hiyo kwa kuwa ilionekana kuwepo kwa mahitaji zaidi.

Shule zilizotembelewa Wilayani humo ni shule ya Sekondari Itigi, Sanjaranda na Kimadoi huku akiahidi kutembelea kata ya Mitundu siku zijazo kwa ajili ya ukaguzi huo.

RC Serukamba ameagiza viongozi wote wa Halmashauri kutoka ofsini na badala yake watembelee miradi hiyo na kuiandikia taarifa huku akimtaka Mhandisi wa Mkoa  Domicianus Kirina, kuhakikisha anatembelea miradi yote ya Wilaya hiyo na kuhakikisha ubora wa kazi pamoja kukamilisha kwa wakati.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa ametembelea Wilaya ya Manyoni katika shule za Makutopora, Malewa, Salanda na Muhalala.

Hata hivyo amepongeza Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kwa hatua nzuri waliyoifikia katika mradi huo wa ujenzi wa vyumba vya madarasa.

Aidha akiongea baada ya ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Mwagisa, amesema Wilaya ina jumla ya vyumba vya madarasa 95 ambapo 10 yapo Halmashauri ya Itigi wakati vyumba 85 vikiwa katika Wilaya ya Manyoni.

Kwa upande wake Kaimu Afisa elimu wa Mkoa Fredrick Ndahani, amesema fedha zilizokuja kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Wilayani Manyoni ni Bilioni 1.7 na zilizotumika mpaka sasa ni Milioni 640.86

Mwisho

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.