• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Wananchi Mkoani Singida watakiwa kupewa elimu ya kujizuia na ulemavu wa macho.

Posted on: May 11th, 2023

Wataalamu wa afya wametakiwa kutoa elimu kwenye mashule na jamii kwa ujumla  juu ya ulaji  wa lishe bora itakayosaidia kuondoa changamoto ya uono hafifu kwa jamii kwa kuwa imekuwa ni changamoto kubwa kwa Mkoa wa Singida.

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Fatma Mganga wakati akifunga kikao cha tathimini ya utekelezaji wa mradi wa mtoto angaza ulioko chini ya Shirika la Sightsavers  kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hotel ya Regency  iliyopo Manispaa ya  Singida.

Aidha ameagiza Maafisa Lishe na Maafisa kilimo Mkoani hapo kutoa elimu na kusaidia wananchi kwenye kilimo cha bustani za mazao ambayo virutubishi vyake vitasaidia kuongeza ulinzi wa macho ili yasiweze kupoteza uono wake.

Hata hivyo RAS ameagiza kusambaza Mkoa mzima taarifa za uwepo wa huduma ya matibabu kwa gharama nafuu yanayoendelea katika hospitali ya rufaa Mandewa zifikishwe kwa jamii husika kwa kuwa wengi wanachangamoto hizo lakini hawajui wapi pa kupata msaada.

Amesema uono hafifu unaweza kuchangia kushuka kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa  ujumla  na kushuka viwango vya elimu endapo walimu hawataweza kuwapanga watoto darasani kulingana na  uwezo wa macho yao hivyo kutoa  maelekezo kwa walimu kuhakisha kunakuwa na mpangilio wa uukaaji darasani.

Kwa upande wake Meneja miradi ya Sightsavers, Edwini Maleko amesema Mkoa wa Singida umeweza kufaidika na miradi ya Sightsavers kwa kuwa zaidi ya Tsh. Bilioni 7 zimetumika katika maeneo mbalimbali Mkoani hapo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa nyumba, vifaa tiba na kusomesha Watumishi wa Afya katika hospitali ya Muhimbili na Nchini India.

Maleko amesema tatizo la uoni hafifu mkoani Singida ni kubwa ambapo asilimia 2.8 wana ulemavu wa macho na wanatakiwa kupata matibabu ili kuondokana na kadhia hiyo.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Ernest Mugeta akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Dkt. Fatma Mganga ili kufunga kikao cha tathimini ya utekelezaji wa mradi wa mtoto angaza.


Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.