• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WANAOKAIDI KUFANYA USAFI MKOANI SINGIDA KUCHUKULIWA HATUA – RC DENDEGO.

Posted on: July 3rd, 2024

Mkuu wa mkoa wa Singida Halima Dendego amewaagiza Maafisa Afya katika mkoa huo kuwachukulia hatua kali wananchi ambao watabainika kukaidi kufanya usafi katika maeneo yao kama hatua ya kuondoa tatizo la magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu.

Mkuu wa mkoa wa Singida ametoa kauli hiyo mara baada ya kumaliza zoezi la kufanya usafi wa mazingira katika Stendi Kuu ya Mabasi ya Mjini Manyoni.

RC. Dendego amesema mwananchi wa mkoa wa Singida wanao wajibu wa kuhakikisha maeneo yao yanakuwa safi na wanaopuuza sheria za usafi wawajibishwe kwa sababu wanaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo magonjwa ya mlipuko.

“Wananchi tekelezeni sheria za usafi za Halmashauri na za nchi katika kutunza mazingira yenu ili kuepuka maradhi yanayozuilika, Amesisitiza Dendego.

Naye, Afisa Afya wa Wilaya ya Manyoni Seif Swed amesema Halmashauri hiyo imejipanga vizuri katika zoezi la usafi wa mazingira ambapo wameweka siku ya Jumatano kuwa ni siku ya usafi kwa wananchi wote na mwisho wa mwezi.

Swed amesema kwa sasa Halmashauri hiyo ni Moja ya Halmashauri zinazofanya vizuri kwenye suala la usafi mkoani Singida hivyo amewahimiza wananchi waendelee na moyo huo katika kufanya usafi ili Halmashauri hiyo iweze kushika namba Moja Kitaifa kwa usafi wa mazingira.

Baadhi ya Wananchi wa Wilaya ya Manyoni walioshiriki zoezi la usafi wamesisitiza kuwekwa mkazo katika matumizi ya sheria hasa kwa wananchi ambao wanakaidi kufanya usafi kwenye maeneo yao.



Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.