• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

WATAHINIWA ZAIDI YA ELFU SABA WAONGEZEKA MTIHANI WA DARASA LA SABA MKOA WA SINGIDA.

Posted on: September 6th, 2017

  Idadi ya Watahiniwa wa mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi Mkoa wa Singida inayoanza leo imeongezeka hadi kufikia wanafunzi 28,947 kutoka wanafunzi 21, 417 waliofanya mitihani hiyo hiyo mwaka jana.

Ongezeko hilo la wanafunzi 7,530 ni kiashiria cha kuboreshwa kwa elimu na usimamizi wa sekta ya elimu msingi kwa Mkoa wa Singida pamoja na jitihada za wazazi na walezi kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria masomo yao ipasavyo.

Hayo yamebainishwa leo na Afisa Elimu Mkoa wa Singida Florian Kimolo ambaye amefafanua kuwa jumla ya wasichana 15,964 na wavulana 12,984 wameanza mitihani ya darasa la saba mkoa wa Singida kwa kufanya mtihani wa Kiingereza ukifuatiwa na mtihani wa Hisabati.

Kimolo ameeleza kuwa ongezo la wanafunzi wanaofanya mitihani inaweza kusababishwa na idadi kubwa ya udahili kwa mwaka walioanza darasa la kwanza wanafunzi hao, lakini pia sababu nyingine kubwa ni usimamizi mzuri katika sekta hiyo ili kupunguza utoro na wanafunzi wanaoacha shule.

Amefafanua kuwa wanafunzi wanaweza kudahiliwa wengi lakini wakamaliza wachache kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo utoro, kuacha shule, uhamisho, na vifo hivyo idadi ikiongezeka ya watahiniwa ni ishara kuwa walimu, wazazi/walezi na idara za elimu ngazi zote zimefanya kazi nzuri ya kusimamia sekta hiyo.

Kimolo amesema mitihani imeanza kufanyika kwa amani na utulivu kutokana kuwa ofisi yake imefanya maadalizi mapema kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na halmashauri zote za Mkoa wa Singida.

Aidha amewataka wasimamizi kuzingatia maadili, kanuni na sheria walizoelekezwa wakati wa semina za usimamizi ili mitihani ifanyike kwa haki bila ya matatizo yoyote.

Kimolo ameongeza kuwa jumla ya vituo vya kufanyia mitihani hiyo kwa mkoa wa Singida ni 518 huku mikondo ikiwa 1313 huku akiwasisitiza wanafunzi hao kufanya mitihani kwa amani na nidhamu.

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT.SAMIA WABISHA HODI SINGIDA

    April 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.