• Wasiliana Nasi |
    • Malalamiko |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Blog |
Singida Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Ikungi
      • HISTORIA
    • Iramba
    • Manyoni
    • Mkalama
    • Singida
  • Halmashauri
    • H/W Ikungi
    • H/W Iramba
    • H/W Itigi
    • H/W Manyoni
    • H/W Mkalama
    • H/W Singida
    • H/M Singida
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Madaktari Bingwa
      • Huduma za Tiba
      • Huduma za Kinga
      • Ustawi wa Jamii
      • Afya ya Mazingira
      • Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Investment Guide
  • Kituo Cha Habari
    • Picha
    • Video
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma

Watoto 286,736 kupatiwa chanjo ya Polio Singida

Posted on: May 19th, 2022

Mkoa wa Singida unatarajia kutoa chanjo ya Polio kwa watoto 286,736 wenye umri wa Miezi sifuri mpaka 59 katika Halmashauri zote za Mkoa huo ifikapo mwishoni mwa mwezi wa Sita mwaka huu.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa huo Dk. Binilith Mahenge wakati akizindua kampeni ya utoaji wa chanjo ya Polio iliyofanyika Iguguno Mkoani hapo huku akiwataka wananchi kuwapeleka watoto wao wakapate chanjo.

Aidha RC Mahenge ametoa wito kwa Wakurugenzi na wakuu wa Wilaya kuhakikisha malengo yanafikiwa kwa kuzingatia malengo ya kila Wilaya ili kujenga Taifa lenye watu wenye Afya njema.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge (wa katikati) akizindua kampeni ya utoaji wa chanjo ya Polio iliyofanyika Iguguno Mkoani Singida. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Sophia Kizigo na kulia ni Mganga Mkuu wa Mkoa  DK. Victorina Ludovick

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Sophia Kizigo amesema kazi yake kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ni kuhakikisha watu wanakuwa salama na wenye uwezo wa kuzalisha hivyo ulinzi huo utaanzia kwenye kuboresha Afya za watoto kwa kuwapatia chanjo.

Amesema Taifa lenye mafanikio ni lenye kuwajali watu wake wakiwemo watoto kwa kuwa ndio viongozi na matajiri wa kesho hivyo kwa nafasi yake amewataka wazazi kuwapeleka watoto wakapate chanjo kwa kuwa haina madhara hata kwa mtoto ambaye alishachomwa wakati alipozaliwa.

Awali akitoa taarifa kuhusu lengo la chanjo hiyo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida DK. Victorina Ludovick amesema ni kwa watoto wenye miaka sifuri mpaka miezi 59 ili kuwazuia athari za mfumo wa fahamu unaosababishwa na polio.

Amesema ugonjwa huo hauna kinga ila unaweza kuzuiliwa kwa kupata chanjo ya polio kwa njia ya matone Ugonjwa ambao mtu huweza kupata kwa kunywa au kula kinyesi.

Ludovick amesema maandalizi yote yamefanyika kwa kupata vifaa na kuandaa vituo mbalimbali.

Amesema zoezi la Chanjo litatolewa kwa njia mbalimbali zikiwemo nyumba kwa nyumba huduma ya Mkoa na katika vituo mbalimbali vya Afya.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge (wa katikati) akishiriki moja ya zoezi la kampeni ya utoaji wa chanjo ya Polio ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi iliyofanyika katika Wilaya ya Iguguno Mkoani Singida Mei 19, 2022. 

Matangazo

  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2022_2023 SINGIDA RS July 01, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHANGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA SINGIDA December 14, 2022
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI HADI OCTOBA, 2023 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO November 01, 2023
  • GENERAL PROCUREMENT NOTICE FOR YEAR 2021/2022 SINGIDA RS - GPN 2021 - 2022 July 01, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • IKUNGI YAPEPERUSHA BENDERA KWA MIRADI YA KIMKAKATI.

    May 08, 2025
  • DKT.MGANGA ASISITIZA MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA BORA

    May 05, 2025
  • WATUMISHI NA WAAJIRI HODARI MKOANI SINGIDA WAPOKEA TUZO

    May 02, 2025
  • KUELEKEA MEIMOSI,RC DENDEGO ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI

    April 25, 2025
  • Angalia Zote

Video

Mkoa wa Singida waja na Mikakati ya Kuboresha Elimu
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU

Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

    SINGIDA

    Anuani: P O BOX 5 SINGIDA

    Simu: 2502170, 2502089

    Simu: 2502170, 2502089

    Barua Pepe: info@singida.go.tz ras@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2023 Singida Regional Commisioner' Office . All rights reserved.